Cytochrome p450
JF-Expert Member
- Mar 19, 2019
- 5,638
- 15,044
Habarini wakuu.
Hebu tukumbushane matukio ya zamani yaliyowahi kukutokea kipindi unasoma Shule ya Msingi au Sekondari.
Nakumbuka kipindi niko Primary, nilipata mapambano mengi sana ya ngumi. Na katika mapambano yote, nili-LOOSE! [emoji23][emoji23][emoji23] Kuna jamaa sitomsahau! Alinibonda sana. Halafu tulikuwa class moja na mimi ndio kiranja.
Ni mpigaji kelele maarufu lakini akija mwalimu kuchukua list ya majina ya wapiga kelele, mchizi hayupo![emoji23][emoji23]
Dah! Old is Gold kwa kweli, nikikumbuka nacheka tu![emoji23]
Hebu tukumbushane matukio ya zamani yaliyowahi kukutokea kipindi unasoma Shule ya Msingi au Sekondari.
Nakumbuka kipindi niko Primary, nilipata mapambano mengi sana ya ngumi. Na katika mapambano yote, nili-LOOSE! [emoji23][emoji23][emoji23] Kuna jamaa sitomsahau! Alinibonda sana. Halafu tulikuwa class moja na mimi ndio kiranja.
Ni mpigaji kelele maarufu lakini akija mwalimu kuchukua list ya majina ya wapiga kelele, mchizi hayupo![emoji23][emoji23]
Dah! Old is Gold kwa kweli, nikikumbuka nacheka tu![emoji23]