Gang Chomba
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 20,649
- 4,786
- Thread starter
-
- #181
Kama mpira unadunda basi udunde baharini - by Gang Chomba.Heshima mbele wakuu...
Katika thread hii tutapata kukumbushana kauli zilizowahi kutolewa na wanamichezo Duniani kote.
Kila mtu kwa kumbukumbu yake anafulsa ya kubandika Quotes iliyowahi kumfurahisha ama kumchukiza katika medani ya Michezo...
Pia ni ruhsa kuelezea kauli hiyo ilitolewa lini ama kwa tukio lipi...
BISMILLAH...
😂🤣😂🤣 dhidi ya Manchester United katika Dimba la Sansiro ambapo United walichutama na kupigwa 3-0Kama mpira unadunda basi udunde baharini - by Gang Chomba.
Hili lilikuwa game tafu kati ya AC Milan sikumbuki na timu gani kwenye UEFA Championship, na kweli AC Milan waliibuka kidedea.
Nimesoma na kufurahi sana jinsi alivyomtendea haki nabii wa soka.Nitaitunza kwa ajili ya vizazi na vizazi vije viisomekama mpira ungekuwa na Mdomo basi kila dakika ungeomba upelekwe kwa Ronaldinho Gaucho ili akauchezee na wenyewe ufurahi...
Silvio Berlusconi mmiliki wa AC Milan
Na alikula kichapo 🖐️🖐️🖐️🤣🤣🤣ni heri kufa kuliko kufungwa 5-0 na simba - yussuf manji
🤣🤣🤣Tatizo wachezaji wa yanga muda mwingi wanajipodoa kocha wa yanga sentiife tom..
🤣🤣🤣yanga ni kama mkate wa boflo ukilowekwa kwenye chai kazi yake kwishaaa
jamhuri kiwelu julio
Sema.....