BUSH BIN LADEN
JF-Expert Member
- Mar 16, 2019
- 8,447
- 19,425
UsinifokeeHabarini wana Jamii Forums Leo nimekuja na hoja kama ilivyo apo kwenye title.
Tunajua Tanzania kuna misemo mingi ilishawahi kutokea na hivi sasa kuna misemo ndio Inavuma 'WAJUMBE na USINIFOKEE'.
Toa msemo wako unaoukumbuka ulio wahi kutrend apa nchini
Sent from my TECNO WX3 using JamiiForums mobile app
Nyie mmesikia wapi? Wapi nyie mmesikia?
Hivi hii tunaanza upya nani alianzisha?expansion joint
ngapi hukooo
tunaanza upyaaaaaa
bao la mkono
Huyu mkuu wa sukuma ndani ndio alisumbua sanaSukuma Ndani...
Soma kwenye Ramani..
Hiii wangoshaaaa...
Ni yeyeeeeeee....
Ati Nini lamba Lolooo...
Umenikumbusha Enzi za CuF na Jeshi la Polisi chini ya IGP Mahita.Mia 9 itapendeza Dr. Shika
Usipokubali kuliwa na we huli. Jk
10mil ni hela mboga Tibaijuka
Hapa kazi tu Jpm
Ngunguri ngangari Lipumba
Mtaji wa maskini ni nguvu zake Mkapa
Wapigwe tu make hakuna namna Pinda
Amfifilo GwajBoy
Nk