BUSH BIN LADEN
JF-Expert Member
- Mar 16, 2019
- 8,447
- 19,425
Nchi ilishakombolewa na TANU na ASP, wanaotaka mapinduzi mengine ni wapumbavu na malofa, ni wajinga- Mkapa
Wanaume mnaotaka mabadiliko bebeni mimba- Mkapa
Mtaenda kazini mkiwa na bandeji na pop- Jakaya
Mkimaliza kupiga kura nendeni majumbani mwenu sasa kalindeni kura muone- Jakaya
Wanaume mnaotaka mabadiliko bebeni mimba- Mkapa
Mtaenda kazini mkiwa na bandeji na pop- Jakaya
Mkimaliza kupiga kura nendeni majumbani mwenu sasa kalindeni kura muone- Jakaya