Tukumbushane kidogo misemo iliyowahi kutokea hapa nchini kwetu

Tukumbushane kidogo misemo iliyowahi kutokea hapa nchini kwetu

Nchi ilishakombolewa na TANU na ASP, wanaotaka mapinduzi mengine ni wapumbavu na malofa, ni wajinga- Mkapa
Wanaume mnaotaka mabadiliko bebeni mimba- Mkapa
Mtaenda kazini mkiwa na bandeji na pop- Jakaya
Mkimaliza kupiga kura nendeni majumbani mwenu sasa kalindeni kura muone- Jakaya
 
Habarini wana Jamii Forums Leo nimekuja na hoja kama ilivyo apo kwenye title.
Tunajua Tanzania kuna misemo mingi ilishawahi kutokea na hivi sasa kuna misemo ndio Inavuma 'WAJUMBE na USINIFOKEE'.

Toa msemo wako unaoukumbuka ulio wahi kutrend apa nchini

Sent from my TECNO WX3 using JamiiForums mobile app
Usinifokee

Jr[emoji769]
 
Mia 9 itapendeza Dr. Shika
Usipokubali kuliwa na we huli. Jk
10mil ni hela mboga Tibaijuka
Hapa kazi tu Jpm
Ngunguri ngangari Lipumba
Mtaji wa maskini ni nguvu zake Mkapa
Wapigwe tu make hakuna namna Pinda
Amfifilo GwajBoy
Nk
Umenikumbusha Enzi za CuF na Jeshi la Polisi chini ya IGP Mahita.

Aliwaambia kama CUF ni Ngangari basi yeye na Jeshi la Polisi ni Ngunguri
 
Back
Top Bottom