Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mitano ina shida nyingiMitano tena
Maendeleo hayana chamaUhuru,haki na Maendeleo ya watu.
Vipi tena jamani huyu bwana alipotelea wapi
SawaHaiwezekani tujue aliko, halafu awe amepotea at the same time, sawa!???
Habarini wana Jamii Forums Leo nimekuja na hoja kama ilivyo apo kwenye title.
Tunajua Tanzania kuna misemo mingi ilishawahi kutokea na hivi sasa kuna misemo ndio Inavuma 'WAJUMBE na USINIFOKEE'.
Toa msemo wako unaoukumbuka ulio wahi kutrend apa nchini
Hala kazi tu"kaa na mavi yako" by Magufuli
Hahaha mkuu umetisha SanaHao wanaotisha kumwaga damu wambieni wajaribu hata kumwaga mkojo waone- Magufuli
Kaka Mshana JrUnajua mimi ni nani?[emoji34][emoji35][emoji34][emoji35]
Jr[emoji769]