Tukumbushane kidogo!

Tukumbushane kidogo!

Hamza Nsiha

JF-Expert Member
Joined
Jul 25, 2022
Posts
221
Reaction score
197
Kuna muda ahadi zetu feki (ahadi za uongo) ndizo zinazowachelewesha watu wenye shida kukutana na majawabu sahihi ya shida zao, kama huna nia ya kutoa msaada kwa mtu ni kheri usitoe ahadi kwani anaweza kuweka imani yake na kusubiri suluhisho la tatizo lake kutoka kwako.......
 
Back
Top Bottom