Foxhound
JF-Expert Member
- Dec 15, 2013
- 28,710
- 76,243
Je parle aussi l'arabe [emoji120][emoji120][emoji120]Tu es comme un arab. Bonne chance
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Je parle aussi l'arabe [emoji120][emoji120][emoji120]Tu es comme un arab. Bonne chance
combien d'années avez-vous étudié?Tuanze kufarijiana kwa makalima mazuri ya kifaransa.
Je vous souhaite bonne vacance. Pensez à Moi tous les jours
félicitation mon frèreJ'ai étudié pendant deux ans et je comprends vraiment comment parler et écrire
d'accord génialfélicitation mon frère
J'ai étudié deux mois.d'accord génial
je te comprendsJ'ai été consultant et professeur et traducteur correcteur de langue pandant 5ans
Ca va bien😊
Tanzania wanaishi Watanzania wazungumzao lugha yao nzuri ya taifa inaitwa Kiswahili. Peleka ujinga wako wa Kifaransa kwa wafaransa wauwaji wa viongozi wetu wa Afrika. hatutaki kuendekeza ukoloni mamboleo hapa nchini kwetu, hutaki hama nchi, halaaaa!Tuanze kufarijiana kwa makalima mazuri ya kifaransa.
Je vous souhaite bonne vacance. Pensez à Moi tous les jours
Lugha ni njia ya mawasiliano kama tunavyotumia magari kusafiria. What is wrong ukinunua gari la Japan ama Ulaya??? Nao ni ukoloni??? Fikicha akili yako kidogo embuTanzania wanaishi Watanzania wazungumzao lugha yao nzuri ya taifa inaitwa Kiswahili. Peleka ujinga wako wa Kifaransa kwa wafaransa wauwaji wa viongozi wetu wa Afrika. hatutaki kuendekeza ukoloni mamboleo hapa nchini kwetu, hutaki hama nchi, halaaaa!
Sio lazma uchangie hìi mada. Kama inakukera potezea mbali. usipoteze muda na mb zako bure.Tanzania wanaishi Watanzania wazungumzao lugha yao nzuri ya taifa inaitwa Kiswahili. Peleka ujinga wako wa Kifaransa kwa wafaransa wauwaji wa viongozi wetu wa Afrika. hatutaki kuendekeza ukoloni mamboleo hapa nchini kwetu, hutaki hama nchi, halaaaa!
Correction: "Kujifunza lugha yoyote ile…" Au huwaoni non-Africans wakija kujifunza lugha zetu!???Kujifunza Lugha ya kimataifa ni kujipatia ufunguo ndani ya dunia ya kisasa.
Sawa, lugha ni njia ya mawasiliano....hao wanafaransa wanajali lugha yetu? Toa ujinga wako hapa, rudi shule upate maarifa.Lugha ni njia ya mawasiliano kama tunavyotumia magari kusafiria. What is wrong ukinunua gari la Japan ama Ulaya??? Nao ni ukoloni??? Fikicha akili yako kidogo embu
Sijui kama umetafakari kabla ya kufurumusha mitusi yako??? Nakupa pole sana kwa sababu upstairs obviously unazidiwa na nursery kidSawa, lugha ni njia ya mawasiliano....hao wanafaransa wanajali lugha yetu? Toa ujinga wako hapa, rudi shule upate maarifa.