TheDreamer Thebeliever
JF-Expert Member
- Feb 26, 2018
- 2,490
- 3,584
- Thread starter
-
- #21
Umekosa mengi sana hata papuchi za kontena jipya haujatafuna,inabidi urudi hata ukasome masters ya DS kama mkuu wa wilaya ile😂😂Muhuni nimepiga udsm 3 years ila sikumbuki jina hata la lecturer mmoja zaidi ya huyu jamaa alikua anapigisha sociology yuko mtandaoni mahusiano motivation speaker... nilikua nakuja kupiga pepa tu chuo na kukusanya madesa
always unanikuta na begi kuubwa mgongoni limejaa ushenzi wa mtaani tu... wakusoma walikua wananiona muhuni tu sijakaa mabibo wala main campus...
daah i wish ningejichanganyaga na life ya chuo yani sikuwaga hata na dem wa chuo mi kitaa tu...
Any way niko kitaa life linasonga mazaga yanapatikana inshallaah tutaulrudi tena kusoma tupate hizo experience zilizotupita
Na nikirudi nakaa bibo mzee lile block la masters nitafune vitoto vyabundergraduate kwa uchungu mwingi sanaUmekosa mengi sana hata papuchi za kontena jipya haujatafuna,inabidi urudi hata ukasome masters ya DS kama mkuu wa wilaya ile😂😂
Utawalaaa utawalaa utatafuna mpk useme basi ila andaa mitonyo usismende kinyongee😂😂Na nikirudi nakaa bibo mzee lile block la masters nitafune vitoto vyabundergraduate kwa uchungu mwingi sana
Wakati huo bila shaka wali mbogamboga ulikuwa 250/=Sisi tumepita hapo boom 2,500 TZS/day
Kwa huu uandishi wako wa kuchanganya a na ha, u na hu ulisoma UDSM ya wapi, si mnasemaga nyie ni cream ya taifa au ndiyo unathibitisha nyie ndiyo jalalani pro max?!Haabari wadau..!
Maisha ya UDSM enzi hizo yalikuwa powa sana sijajua kwa sasa.
Tuanzie wapi ,ngoja tuanze na Boom enzi hizo lilikuwa 4000/= kwa siku ila tulivyoingia chuo ikabidi tufanye mgomo Boom liongezwe watoto wa mama hawataelewa.
Maandamano yalianzia Revo Square sijuhi kama watoto wa leo wanaijua Revo Square watu wakatolewa lecture room wajoin movement watoto wa mama wakakimbia ila watoto wa mbwa tukaingia mtaani tulivyofika Mlimani City mabomu yalipigwa kama yote vile tukapoteana.
Kipindi hicho kuna wale wajamaa ndio wakuu wa vyuo wanajihita Tripple M yaani Mkandala,Mgaya na Maboko.
Mgomo ulipoisha chuo kizima tulirudishwa nyumbani kwa mda usiojulikana,baada ya kurudishwa tena sisi waanzilishi wa mgomo tukafukuzwa ila mm nikafanya harakati sikufukuzwa.
Mwaka wa kwanza nilipata room mabibo hostel pale maisha yalikuwa powa sana wale wa mwaka wa pili na kuendelea tukawa tunawabeba yaani kitanda chembamba mnalala wawili kana mpo lupango vile ,usiombe umbebe mtu mrefu.
Mwaka wa pili inabidi huwai chuo kabla hakijafunguliwa ukatafute mtu wa kukubeba (kushare naye kitanda).
Ukiwa mwaka wa kwanza ni ngumu sana kupata demu wengi wanadharau mwaka wa kwanza,ila mwaka wa pili ndio mwaka wa kupata demu inabidi uliwahi konteana jipya (first year).Hasikwambie mtu hapa watoto wa mwaka wa kwanza wanamegeka kiurahini sana .
Boom likiingia safari za mlimani City ,Survey ,Ambiace n.k ila boom likikata tunaanza kupiga pasi ndefu kama hatuna akili nzuri hata lectures hazipandi kipindi hiki mademu wasio na msimamo wanaanza kujiuza ili wapate pesa za kujikimu,yaani kama una demu anaweza kukusaliti boom likikata.
Kipindi cha boom likikata wahuni tunaanza kugonga RB (Rice Beens) wali maharage ambao bei yake ilikuwa 600/=Boom likikata watu wanaanza kusifia wali mahatagr wa Cafe 1 na Coet ndio mtamu.Wazee wa bibo wanapiga tu shato pori mwendo ws kutembea kwa mguu toka main campus aibu washikaji wakikuona wanajua umefua.
Kuishi mabibo ni mateso hakukuwa na Kijazi Flyover foleni mtindo mmojs usishangae kutoka bibo mpk campus ukamaliza masaa zaidi ya matatu ubungo mataa.kukosa lecture au kuchelewa test kawaida kisa foleni ya ubungo mataa.
Am from the street homieeee... pesa ndo kila kitu huku toka naanza chuo natambua hilo ndo maama sikuwekeza sana muda wangu kuishi chuoUtawalaaa utawalaa utatafuna mpk useme basi ila andaa mitonyo usismende kinyongee😂😂
Walinila kichwa ase, jamaa hawafai shule ilikuwa inahitaji userious balaa yani. Nlikula E na D za kutosha semester fulani nikapata GPA 1.3 Discontinued.walikula kichwa???
Umeniangusha hiki Kiswahili aisee. Kwa kiwango chako , na namna unajigamba hivi, hukupaswa kuwa mbovu hivi wa lugha. Shato poLi? ...huwaI..?Hasikwambie?Haabari wadau..!
Maisha ya UDSM enzi hizo yalikuwa powa sana sijajua kwa sasa.
Tuanzie wapi ,ngoja tuanze na Boom enzi hizo lilikuwa 4000/= kwa siku ila tulivyoingia chuo ikabidi tufanye mgomo Boom liongezwe watoto wa mama hawataelewa.
Maandamano yalianzia Revo Square sijuhi kama watoto wa leo wanaijua Revo Square watu wakatolewa lecture room wajoin movement watoto wa mama wakakimbia ila watoto wa mbwa tukaingia mtaani tulivyofika Mlimani City mabomu yalipigwa kama yote vile tukapoteana.
Kipindi hicho kuna wale wajamaa ndio wakuu wa vyuo wanajihita Tripple M yaani Mkandala,Mgaya na Maboko.
Mgomo ulipoisha chuo kizima tulirudishwa nyumbani kwa mda usiojulikana,baada ya kurudishwa tena sisi waanzilishi wa mgomo tukafukuzwa ila mm nikafanya harakati sikufukuzwa.
Mwaka wa kwanza nilipata room mabibo hostel pale maisha yalikuwa powa sana wale wa mwaka wa pili na kuendelea tukawa tunawabeba yaani kitanda chembamba mnalala wawili kana mpo lupango vile ,usiombe umbebe mtu mrefu.
Mwaka wa pili inabidi huwai chuo kabla hakijafunguliwa ukatafute mtu wa kukubeba (kushare naye kitanda).
Ukiwa mwaka wa kwanza ni ngumu sana kupata demu wengi wanadharau mwaka wa kwanza,ila mwaka wa pili ndio mwaka wa kupata demu inabidi uliwahi konteana jipya (first year).Hasikwambie mtu hapa watoto wa mwaka wa kwanza wanamegeka kiurahini sana .
Boom likiingia safari za mlimani City ,Survey ,Ambiace n.k ila boom likikata tunaanza kupiga pasi ndefu kama hatuna akili nzuri hata lectures hazipandi kipindi hiki mademu wasio na msimamo wanaanza kujiuza ili wapate pesa za kujikimu,yaani kama una demu anaweza kukusaliti boom likikata.
Kipindi cha boom likikata wahuni tunaanza kugonga RB (Rice Beens) wali maharage ambao bei yake ilikuwa 600/=Boom likikata watu wanaanza kusifia wali mahatagr wa Cafe 1 na Coet ndio mtamu.Wazee wa bibo wanapiga tu shato poli mwendo ws kutembea kwa mguu toka main campus aibu washikaji wakikuona wanajua umefua.
Kuishi mabibo ni mateso hakukuwa na Kijazi Flyover foleni mtindo mmojs usishangae kutoka bibo mpk campus ukamaliza masaa zaidi ya matatu ubungo mataa.kukosa lecture au kuchelewa test kawaida kisa foleni ya ubungo mataa.
ulisoma nini UDSM ??Umeniangusha hiki Kiswahili aisee. Kwa kiwango chako , na namna unajigamba hivi, hukupaswa kuwa mbovu hivi wa lugha. Shato poLi? ...huwaI..?Hasikwambie?
Unakiangusha chuo chetu jamaa, dah! Kama kweli unajipenda na kukipenda chuo chako, hariri hili andiko. Ninajua unaweza usione makosa, omba msaada. Kutokana na muktadha, hukupaswa kukosea hata herufi moja.
Wali ndondo tulikuwa tunagonga 350 mpaka 400Wakati huo bila shaka wali mbogamboga ulikuwa 250/=
Mie lilikuwa 1200/=Sisi tumepita hapo boom 2,500 TZS/day
Tuliosoma MUCE tunaweza kushikiri huu uzi ?Haabari wadau..!
Maisha ya UDSM enzi hizo yalikuwa powa sana sijajua kwa sasa.
Tuanzie wapi ,ngoja tuanze na Boom enzi hizo lilikuwa 4000/= kwa siku ila tulivyoingia chuo ikabidi tufanye mgomo Boom liongezwe watoto wa mama hawataelewa.
Maandamano yalianzia Revo Square sijuhi kama watoto wa leo wanaijua Revo Square watu wakatolewa lecture room wajoin movement watoto wa mama wakakimbia ila watoto wa mbwa tukaingia mtaani tulivyofika Mlimani City mabomu yalipigwa kama yote vile tukapoteana.
Kipindi hicho kuna wale wajamaa ndio wakuu wa vyuo wanajihita Tripple M yaani Mkandala,Mgaya na Maboko.
Mgomo ulipoisha chuo kizima tulirudishwa nyumbani kwa mda usiojulikana,baada ya kurudishwa tena sisi waanzilishi wa mgomo tukafukuzwa ila mm nikafanya harakati sikufukuzwa.
Mwaka wa kwanza nilipata room mabibo hostel pale maisha yalikuwa powa sana wale wa mwaka wa pili na kuendelea tukawa tunawabeba yaani kitanda chembamba mnalala wawili kana mpo lupango vile ,usiombe umbebe mtu mrefu.
Mwaka wa pili inabidi huwai chuo kabla hakijafunguliwa ukatafute mtu wa kukubeba (kushare naye kitanda).
Ukiwa mwaka wa kwanza ni ngumu sana kupata demu wengi wanadharau mwaka wa kwanza,ila mwaka wa pili ndio mwaka wa kupata demu inabidi uliwahi konteana jipya (first year).Hasikwambie mtu hapa watoto wa mwaka wa kwanza wanamegeka kiurahini sana .
Boom likiingia safari za mlimani City ,Survey ,Ambiace n.k ila boom likikata tunaanza kupiga pasi ndefu kama hatuna akili nzuri hata lectures hazipandi kipindi hiki mademu wasio na msimamo wanaanza kujiuza ili wapate pesa za kujikimu,yaani kama una demu anaweza kukusaliti boom likikata.
Kipindi cha boom likikata wahuni tunaanza kugonga RB (Rice Beens) wali maharage ambao bei yake ilikuwa 600/=Boom likikata watu wanaanza kusifia wali mahatagr wa Cafe 1 na Coet ndio mtamu.Wazee wa bibo wanapiga tu shato pori mwendo ws kutembea kwa mguu toka main campus aibu washikaji wakikuona wanajua umefua.
Kuishi mabibo ni mateso hakukuwa na Kijazi Flyover foleni mtindo mmojs usishangae kutoka bibo mpk campus ukamaliza masaa zaidi ya matatu ubungo mataa.kukosa lecture au kuchelewa test kawaida kisa foleni ya ubungo mataa.
Thamani ya shilingi inazidi kudidimia jalalani kabisa...Wali ndondo tulikuwa tunagonga 350 mpaka 400
Kwa tuliosomea nje haya yote hatuna habari nayo.Haabari wadau..!
Maisha ya UDSM enzi hizo yalikuwa powa sana sijajua kwa sasa.
Tuanzie wapi ,ngoja tuanze na Boom enzi hizo lilikuwa 4000/= kwa siku ila tulivyoingia chuo ikabidi tufanye mgomo Boom liongezwe watoto wa mama hawataelewa.
Maandamano yalianzia Revo Square sijuhi kama watoto wa leo wanaijua Revo Square watu wakatolewa lecture room wajoin movement watoto wa mama wakakimbia ila watoto wa mbwa tukaingia mtaani tulivyofika Mlimani City mabomu yalipigwa kama yote vile tukapoteana.
Kipindi hicho kuna wale wajamaa ndio wakuu wa vyuo wanajihita Tripple M yaani Mkandala,Mgaya na Maboko.
Mgomo ulipoisha chuo kizima tulirudishwa nyumbani kwa mda usiojulikana,baada ya kurudishwa tena sisi waanzilishi wa mgomo tukafukuzwa ila mm nikafanya harakati sikufukuzwa.
Mwaka wa kwanza nilipata room mabibo hostel pale maisha yalikuwa powa sana wale wa mwaka wa pili na kuendelea tukawa tunawabeba yaani kitanda chembamba mnalala wawili kana mpo lupango vile ,usiombe umbebe mtu mrefu.
Mwaka wa pili inabidi huwai chuo kabla hakijafunguliwa ukatafute mtu wa kukubeba (kushare naye kitanda).
Ukiwa mwaka wa kwanza ni ngumu sana kupata demu wengi wanadharau mwaka wa kwanza,ila mwaka wa pili ndio mwaka wa kupata demu inabidi uliwahi konteana jipya (first year).Hasikwambie mtu hapa watoto wa mwaka wa kwanza wanamegeka kiurahini sana .
Boom likiingia safari za mlimani City ,Survey ,Ambiace n.k ila boom likikata tunaanza kupiga pasi ndefu kama hatuna akili nzuri hata lectures hazipandi kipindi hiki mademu wasio na msimamo wanaanza kujiuza ili wapate pesa za kujikimu,yaani kama una demu anaweza kukusaliti boom likikata.
Kipindi cha boom likikata wahuni tunaanza kugonga RB (Rice Beens) wali maharage ambao bei yake ilikuwa 600/=Boom likikata watu wanaanza kusifia wali mahatagr wa Cafe 1 na Coet ndio mtamu.Wazee wa bibo wanapiga tu shato pori mwendo ws kutembea kwa mguu toka main campus aibu washikaji wakikuona wanajua umefua.
Kuishi mabibo ni mateso hakukuwa na Kijazi Flyover foleni mtindo mmojs usishangae kutoka bibo mpk campus ukamaliza masaa zaidi ya matatu ubungo mataa.kukosa lecture au kuchelewa test kawaida kisa foleni ya ubungo mataa.