Tukumbushane michezo hatari ya utotoni iliyotusababishia madhara tukaishia hospitalini

Tukumbushane michezo hatari ya utotoni iliyotusababishia madhara tukaishia hospitalini

Utoto Ni Raha Sana jamani. Nakumbuka kipindi Niko mtoto nilikuwa active Sana kwenye michezo mbali mbali ya utotoni. Ila kina michezo hatari Sana ambayo tulikuwa tunashiriki Kisha iikatusababishia madhara tukaishia hospitalini.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa babu kulikuwa na nyigu/manyigu sebuleni darini,babu alikuwa akiwaita wanajeshi wake akisema mtu hasiwaguse;Mimi na utoto wangu ilikuwa haingii akilini,sasa siku moja wakati babu amelala nikaona sasa huu ndo muda wangu wa kufanya yangu,nikatafuta kipande cha gogo nikajiset karibu na mlango standby kwa mabio,nikacheck eneo salama la kukimbilia baada shambulizi nikaona liko poa,ndo nikutupa nyukilia yangu Russia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23];Wewe wewe Wewe mabio hayakusaidia lolote nilipigwa za uso,za kichwa huku nikiomba msaada kwa babu.Sikuwahi kurudia tena!Babu akasema nilikwambia husiwachokoze wanajeshi wangu,kweli walikuwa make babu alivyokuja tu wakaacha kunitandika na kurudi ndani,sijui uchawiii ht sikuelewa hd wa leo make ht baada ya kufariki walihama wenyewe
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa babu kulikuwa na nyigu/manyigu sebuleni darini,babu alikuwa akiwaita wanajeshi wake akisema mtu hasiwaguse;Mimi na utoto wangu ilikuwa haingii akilini,sasa siku moja wakati babu amelala nikaona sasa huu ndo muda wangu wa kufanya yangu,nikatafuta kipande cha gogo nikajiset karibu na mlango standby kwa mabio,nikacheck eneo salama la kukimbilia baada shambulizi nikaona liko poa,ndo nikutupa nyukilia yangu Russia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23];Wewe wewe Wewe mabio hayakusaidia lolote nilipigwa za uso,za kichwa huku nikiomba msaada kwa babu.Sikuwahi kurudia tena!Babu akasema nilikwambia husiwachokoze wanajeshi wangu,kweli walikuwa make babu alivyokuja tu wakaacha kunitandika na kurudi ndani,sijui uchawiii ht sikuelewa hd wa leo make ht baada ya kufariki walihama wenyewe
hahahahaahahaahaha
 
Mwaka 1983 tulichez kibaba

Tukiwa tunachunga ndama majarubsni

Sasa baba sharti ujenge boma lako la nyasi za mpunga
Nimejana na mke wangu kaingia ndani si kuna tahira moja likaingia kwa boma langu eti ni li kaka langu!!!

Nilichofanya nikatia moto boma. Aseeeee Mungu ni mkubwa jamani



Popote ulipo Anjelina unisameheee
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa babu kulikuwa na nyigu/manyigu sebuleni darini,babu alikuwa akiwaita wanajeshi wake akisema mtu hasiwaguse;Mimi na utoto wangu ilikuwa haingii akilini,sasa siku moja wakati babu amelala nikaona sasa huu ndo muda wangu wa kufanya yangu,nikatafuta kipande cha gogo nikajiset karibu na mlango standby kwa mabio,nikacheck eneo salama la kukimbilia baada shambulizi nikaona liko poa,ndo nikutupa nyukilia yangu Russia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23];Wewe wewe Wewe mabio hayakusaidia lolote nilipigwa za uso,za kichwa huku nikiomba msaada kwa babu.Sikuwahi kurudia tena!Babu akasema nilikwambia husiwachokoze wanajeshi wangu,kweli walikuwa make babu alivyokuja tu wakaacha kunitandika na kurudi ndani,sijui uchawiii ht sikuelewa hd wa leo make ht baada ya kufariki walihama wenyewe
Mkuu😂😂😂 nilishuhudia mdogo angu akilia kama mtoto sababu ya hao wadudu, yaani nilichekaa. Sijawahi kung'atwa nao ila naskia ni balaaa
 
Kuna ule mpira wa mdako wa kababuana kwa nguvu ule dah nikakwepa mpira nikaenda kuangukia mkono ukavunjika, nakaweka muhogo(pop)🤷‍♂️ miezi miwili tena mkono wa kulia shule nikawa naandikia left hand, muandiko mbayaa nikawa nachekwa.

Nikapigwa stop michezo ila sijui ndiyo utoto, baada ya kutolewa muhogo tu mwezi huo huo nikarudia kucheza mpira wa mdako tena aisee niliteleza nikajing'ata mdomo wa chini, damu kibao, nilikua siwezi kula vizuri wala kufumba mdomo, wala kuswaki hadi domo lilikua linaninukia,nakumbuka bimkubwa alitamani kulia eti nampa majaribu duniani, haiwezekani mimi tu mara mkono, tena mdomo.

Tukio lingine kuna ndugu yangu analikua anaendesha baiskeli akanipakiza bahati mbaya sikujua hutakiwi kuweka miguu/vidole katikati ya zile tyres dooh ziliniparua vidole kucha ukatoka, nikauguzwa na mama na kipigo juu.

Tukio lingine nimetoka shule njiani nakutana na mdingi mwenyewe yupo na pikipiki anarudi home akanipa lift tobaa kumbe kuna ile exhaust ni ya moto balaa bahati mbaya nikaweka mguu uwii nililia kuja kucheki mguu umeumuka kama puto.
 
maumivu ya kudumbukia mguu katikati ya chaga siwezi yasahau mpaka leo hii,nilitembea kama nimetoka kunaniliwa bmkubwa akajua nimeanza kucheza mchezo mbaya [emoji16]
 
Nimeshavunjika mkono udogoni sababu ya sarakasi zile za kwenye matofali na matairi.
lakini sikomi hata leo nikikaa naruka tu kudadeki mpaka baby wangu Hannah anapiga Yowe ntavunja nyonga na kugegedana tushindwe.
 
Umasaini tukawa tunaenda msituni kweye mapango yaliyozungukwa na vichaka kutafuta watoto wadogo chui ili tukavichezee. Tulivipata Once mamayao alatokea. Rafiki yangu alipigwa ukucha wa shingo tukatawanyika kwa speed ya bodaboda, yaani kusingekuwa na morani karibu angeuwawa
[emoji16][emoji16] kama nakuona mwendo wako
 
Umenikumbusha kuna dogo aliletwa dispensary kwa bi mkubwa na harage lake puani limeshindwa kutoka...at the end of the day lilitolewa....nikawaza utoto risk sana
 
Mwaka 1996 mkoa X, mzee akiwa ni mwalimu wa masomo ya mchipuo wa ECA shule pekee mkoa X iliokua ikitoa mafunzo ya ECA na Ualimu.

Mimi na kamati yangu ya nidhamu tukasema tuwatie nidhamu wanafunzi wa shule ile kwa kutungua mzinga wa nyuki uliokua kwenye mzambarau ili tuangue vizuri zambarau.

Sasa baada ya wezangu kuchemka, sniper mwenyewe niliporusha tu jiwe langu la kwanza mzigo ukajibu chini, aisee ilikua ni taharuki shule nzima na viunga vya jirani. Kwanza niling'atwa sana kiasi cha kupoteza fahamu na kupelekwa hospitali.

Wanafunzi waliopita pale mwaka ule 1996 kama wapo humu, hii kitu lazima waikumbuke ilikua ni hatari.
 
Tukiwa form 1 miaka ya nyuma sana kuna mwalimu mmoja wa kike alikuwa ni mkali sana shuleni kupita maelezo kila mara ni kufoka, kupigwa mboko bila sababu au kosa halimhusu but analibeba yeye ilimradi tafrani.
Kumbe bwn hasira zote hizo zilitokana na stress alikuwa ni muathirika,bahati mbaya pia tumefika form ll hali ikaanza kubadilika kiafya aliugua muda mfupi na Mungu kumchukua;Sasa siku amefariki kengele ikapigwa shule nzima tuka- fallin,headmaster na school teachers wakaja assembly,anyway sisi tulikuwa hatujui kilichotokea tunasubiri kutanganziwa.Ile kuambiwa taarifa ya msiba tu wa Mwl husika tulishangilia kwa vigelegele,vifijo,shangwe na ndelemo kuanzia I mpaka lV.Nadhani kilichofata mnakijua kwani kila Mwl alipotea ghafla kwenda msituni kuchanja stick kwa kadri ya matumizi husika,hiki ndo kipigo cha Alaiki nilichowahi kushuhudia maishani mwangu. Utoto jamani,Mungu amlaze Pahala pema Mbinguni mwalimu wangu wa Commerce hatukujua tulilokuwa tunatenda kwa kipindi hicho
 
Mkuu[emoji23][emoji23][emoji23] nilishuhudia mdogo angu akilia kama mtoto sababu ya hao wadudu, yaani nilichekaa. Sijawahi kung'atwa nao ila naskia ni balaaa
Hatari sana,,husingelimcheka make mimi zile sindano nilizogongwa bd nazikumbuka hadi leo, tabia ya wadudu yaan mmoja tu anaweza kukushambuli mara nyingi mwili sehemu tofauti hasa kichwani ukadhani unashambuliwa na nyigu 200 kumbe ni mmoja tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nimeshavunjika mkono udogoni sababu ya sarakasi zile za kwenye matofali na matairi.
lakini sikomi hata leo nikikaa naruka tu kudadeki mpaka baby wangu Hannah anapiga Yowe ntavunja nyonga na kugegedana tushindwe.
Ndio babe wangu ruka kwa uangalifu tu. Usije haribu kiwanda cha kuzalisha watoto.
 
Tulikuwa tunacheza kidali kwa kumbizana kwenye mkorosho ...kwahiyo tunarukia matawi ya mkorosho kama ngedere ili kukwepa kudalikwa

Siku moja nimerukia tawi likakatika nikadondoka toka umbali wa mita kama 10-20 hv na nikatulia mgongo nakumbuka sikuweza kutoa sauti wakati wa kulia wala kuongea kwa muda wa takribani nusu saa...nilibaki nimetoa macho huku machozi yakitoka tu

Baaada ya hapo sikurudia tena kudandia miti
ungekata moto mzee
 
Back
Top Bottom