Kirefu cha DH eti walikuwa wanasema dingi hana uwezo [emoji38] [emoji38]Au ndio maana nilizikuta raba za DH dukani!my mummy yeye LOSO ndio ilikua kiatu chake
yeahWengine tunaongea sana
Wengine sie tulikuwa hatuzijui majina tunavaa tuKama umevaa yondo sister halafu upo humu asalaam mwenzangu.
Kama umevaa gonga snake halafu upo humu pia asalaam mwenzangu.
Kumbe Sky Eclat, we ni Kikongwe...!!Tulianza kuona deodorant za Fa madukani na mafuta ya Vaseline. Kabla ya hapo tulitumia mafuta ya Asher's yalitengenezwa Tanga
Wewe kwa mwandiko wako utakuwa umeanza na kaniki futuko hizo hujazikutaWengine sie tulikuwa hatuzijui majina tunavaa tu
Kwamba nlikuta mmeshavaa?Wewe kwa mwandiko wako utakuwa umeanza na kaniki futuko hizo hujazikuta
Afadhali DH mkuu msure alinipeleka sukari la BORA kununua raba flani tuliziita ngalawa. Kwakweli niligoma vibaya sana
Inawezekana zilikuwepo kipindi changu ila huenda sikuzipitia maana sikuwa wa kisasa kiasi hicho
Umepitia hiyo Mitindo ya nywele(afro)