Tukumbushane tulikotoka

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
Mwaka 1985 wakati wa transition of power kutoka kwa Rais Nyerere kwenda kwa Rais Mwinyi, wengi hasa wazee wakiwaza Tanzania bila Nyerere inawezekana?

Tulianza kuona plastic shoes madukani, enzi zile ziliitwa Yondo Sister, saa za battery ziliingia, khanga za Mombasa zikauzwa madukani si tena kwa mchoro mchoro.

Ninakumbuka yellow fashion, ualikwe kwenye party umepiga yellow shoes kichwani una yellow hair band kama Madonna kila mvulana anataka kucheza na wewe.

Unakumbuka nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…