alikuwa akichinjwa kuku baba anamla wote sisi tunakula miguu ,kichwa na damu basi na manyoyaMama yako janja sana
sasa hivi hupeleki?Huwezi amini ndivyo ilivyokuwa mpaka baadae sanaaaa!
daah huyo kiboko[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji342]Mzee wangu alikuwa na tabia ya kuzima TV kwa remote, halafu anamalizia na ile button ya kwenye TV na kuingia na remote chumbani hivyo TV haiwaki mpaka utumie remote kuiwasha.
Kwa utundu wangu nikabuni mbinu. Nilikuwa naminya ile "button" ya kwenye TV, then na-"press" na ku-"hold" button za kuongeza sauti na kubadilishia channel kwa pamoja na TV inawaka bila kutumia remote.
Nikimaliza kuangalia naweka auto switch off, namalizia na button ya TV halafu huyooo nakwenda zangu.
Ila Kuna siku alirudi kazini, akaigusa TV akakuta ya moto dah kipigo alichonipa sitaki kukikumbuka.
Sasa hivi kuokota hela ngumu sana.sasa hivi hupeleki?
Yaani acha kabisa, sasa si ushaambiwa hela zote ni zake na ukitaka uombe!
Baada ya hapo ilibidi aanzishe self reliance program, kila mmoja na bustani yake ya mboga na kuku. Yaani yule mama nikimkumbukaga najikuta nacheka tu na kumshukuru.
Hahaaaa!! Khaah wakati hivyo alavyo baba ndivyo inatakiwa wale watoto.alikuwa akichinjwa kuku baba anamla wote sisi tunakula miguu ,kichwa na damu basi na manyoya
ase umemis vitu vizur kwa mzee kama makofi ya hapa na palehahaha nimecheka sana
Thanks God my dad is soo cool,hajawah hata kuninyooshea kidole zaid ya kunikata kucha .....lol i love my dad.Live long papaa...
Huyo dingi yenu noma... Kuku mzima anakula wote[emoji15]alikuwa akichinjwa kuku baba anamla wote sisi tunakula miguu ,kichwa na damu basi na manyoya
pole sanaToo bad sina relationship positive sana na mzee wangu ila huyu mzee yeye anakawaida moja tu anapenda kulalamika balaa.
Unakuta labda mnaangalia luninga ghafla chaneli imekata inaonyesha chenga utamsikia "Amigo hiyo TV umeifanya nini mbona imeanza kuonyesha chenga"
Basi inabidi utoke nje uzungushe Antenna mpaka uzipate chaneli ndio lawama zinaisha.
Unakuta ng'ombe analia unaitwa kwa mkwara "Amigo huyo ng'ombe umemfanya nini tena mbona analia"
Pia anapenda Kujifanya yeye ndio anajua kila kitu, ukimpa ushauri hata kama wa kitaalamu lazima uambulie maneno ya shombo... Hapa sita sahau siku moja Ford Escort yake iliaribika akawa anaitengeneza sasa ikafika sehemu akawa amekwama inabidi nimpe mawazo mbadala cha kushangaza nikaambulia majibu yake ya siku zote "tulia huko kwani mimi na wewe nani wa kwanza kuiona spana" lakini alivyo jaribu baada ya kuhangaika sana wazo langu likakubali.
Dah!!! It's too bad things fell apart between us. But I ain't mad at him, I love him dearly.
kauzu sana mzee yuleHahaaaa!! Khaah wakati hivyo alavyo baba ndivyo inatakiwa wale watoto.
Asante mkuupole sana
Wewe bado young sana yani kipindi cha ukoloni wa mzee wako ulikuea unamiliki simu!!!!Hamna kunywa chai bila kuoga
Sa kumi na mbili geti limefungwa...
Alileta ukoloni zaidi pale alipoanza kukusanya simu zetu sa mbili usiku na kuzizima mpaka asubuhi anapoenda kazini.
Mi product ya 90Wewe bado young sana yani kipindi cha ukoloni wa mzee wako ulikuea unamiliki simu!!!!
ase umemis vitu vizur kwa mzee kama makofi ya hapa na pale
atakuwa 2009-2015Wewe bado young sana yani kipindi cha ukoloni wa mzee wako ulikuea unamiliki simu!!!!
Kuna siku mdogo wangu alishindwa kuvumilia huo ukoloni wa mzee alichukua kamera akaipasua et anatafuta hao watu walio pigwa picha kwenye ile kamera ili akawaogeshe aliambulia kuona mkanda tu.sasa mzee alivyorudi home kipigo chake kilikua ni heavy mtu alitundikwa kwenye paa huku kaning'inizwa kama anae pimwa uzito nadhani siku hiyo hata malaika walipatwa na unyonge.[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] du unachapwa kabla ya kosa ,sasa siku ukifanya kosa viboko vitapungua?
Madingi wengi wao ndio makauzu kuliko wakina mama ila ukikuta mazeli kauzu basi mbandidu kweli.Hivi hii 'wazee' ni baba tu au na mama?