Tukumbushane ukoloni uliowahi fanyiwa na wazee wako

Tukumbushane ukoloni uliowahi fanyiwa na wazee wako

Daah nakumbuka kipindi tukiwa wadogo mzee wetu alikua na tabia ya kutuchapa kila anunuapo bidhaa mpya na kuileta nyumbani.Mfano Nakumbuka siku moja alinunua chupa ya chai kabla hata haijaanza matumizi akatutia bakora huku akitusihi na kutukanya kuwa tukiichezea inaweza kupasuka,Basi ikawa kila akinunua kitu chochote akikileta nyumbani lazima tuchapwe!![emoji22] [emoji22] [emoji22] [emoji22]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Daaa vimbwanga vya wazee wangu vingi xn ,,mojawapo anakununulia nguo over size lengo usimsumbue eti unakuwa nazo ,unajkuta upo class 3 lakini shati adi magotini ka kanzu ,kaputula adi kwenye visigino ,,pia bibi yangu anakzingua hapiki ka hujafanya anavotaka na akienda ulabuni kwenye kindoo chenye unga anachora lipicha lolote ju ya unga complex ili ukchota unga upke lazima aje atambue so nilkuwa nachora pembeni lipicha lake nachota unga then naichora tena picha ju ya unga
Hahahhahhhahaha Jamaaani
 
Sheria ya kwetu ilikuwa kumi na mbili kamili nyumbani, hakuna kucheza tena. Wakati huo tunaishi kota na mbele ya nyumba tunayoishi pana uwanja ambao watoto hukusanyika na kucheza usiku wa mbalamwezi! Kama ingekuwa inawezekana baba na mama yetu wangebadilika ghafla na kuwa wagumba kwani wote tulitamani kubadili wazazi ambao wasingetuchunga! Kuna siku mwenzetu mmoja ambaye dingi yake alikuwa na masharti kama ya home kwetu akafariki acha tutamani kama ingekuwa kwetu manake mshikaji akawa huru kinoma!!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Mzee wetu alitufundisha kuendesha gari bado tukiwa shuleni.Lakini yeye akiweka mafuta kwenye gari akirudi nyumbani lazima ayatoe na kuyafungia store....ukitaka gari nunua mafuta yako na ole wako uishiwe na mafuta njiani
 
Aiseee nakumbuka mshua alikuwa zaidi ya mkoloni, nina dogo langu lilikuwa linapenda kujisaidia kwenye uzio kisa choo kipo mbali, siku ya siku mzee akamfuma alikula stick za kufa mtu na akamlazimisha kula mavi yake toka siku hiyo aliona choo kipo karibu ata kama ni night.
Mimi mwenyewe alileta stand mpya ya tv hizi za kichina sasa muda asiokuwepo uwa tunatoa tv tukalia juu mwingine anakusuma inakuwa kama starehe fulani hivi kwa ilikuwa na maraisi, sasa mwisho wa siku. nikiwa juu naendeshwa huku narukaruka ikavunjika, mzee aliporudi kauliza kila mtu kimya, akatuita chumbani alizungusha waya nne nne kwa kila mtu wenzangu uvumilivu ukawashinda wakanitaja, aiseee nilipigwa sijapata ona hadi leo alama ipo. Baada ya kipigo ikawa kila ikifika kipindi cha taarifa ananiita nashikilia tv kichwani mpaka amalize kuangalia taarifa ndio natua, it takes almost 3months ndio akaleta stand nyingine
Jamaani Jf raha sana
 
Mimi kwakweli sitasahau ukoloni wa Mzee wa kununua stendi ya Tv na kuwa anaisukuma kuipeleka chumbani mara baada ya kumaliza kuangalia taarfa....ki ukweli ule kwangu nilikuona naona ni ukoloni ile mbaya

Ebu tukumbushane ukoloni wa hawa wazee wetu wa zaman
Halafu ikusaidie nini?
 
Mzee wangu nakumbuka alikuwa anawahi kwenda shamba saa11 alfajili na kabla hajaondoka anatuamsha watoto wake , ilikuwa ikifika saa12asubuhi anarudi kuona nani hajaamka na alikuwa ana tabia ya kutumwagia maji pamoja na Yale magodoro tuliyolalia
 
Aiseee nakumbuka mshua alikuwa zaidi ya mkoloni, nina dogo langu lilikuwa linapenda kujisaidia kwenye uzio kisa choo kipo mbali, siku ya siku mzee akamfuma alikula stick za kufa mtu na akamlazimisha kula mavi yake toka siku hiyo aliona choo kipo karibu ata kama ni night.
Mimi mwenyewe alileta stand mpya ya tv hizi za kichina sasa muda asiokuwepo uwa tunatoa tv tukalia juu mwingine anakusuma inakuwa kama starehe fulani hivi kwa ilikuwa na maraisi, sasa mwisho wa siku. nikiwa juu naendeshwa huku narukaruka ikavunjika, mzee aliporudi kauliza kila mtu kimya, akatuita chumbani alizungusha waya nne nne kwa kila mtu wenzangu uvumilivu ukawashinda wakanitaja, aiseee nilipigwa sijapata ona hadi leo alama ipo. Baada ya kipigo ikawa kila ikifika kipindi cha taarifa ananiita nashikilia tv kichwani mpaka amalize kuangalia taarifa ndio natua, it takes almost 3months ndio akaleta stand nyingine
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mkuu dingi yako alikuwa noma sana.
Kwahiyo uligeuka stand ya TV
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hapana kuna wazee wakoloni
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mkuu dingi yako alikuwa noma sana.
Kwahiyo uligeuka stand ya TV
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hapana kuna wazee wakoloni
Niligeuka stand kwa miezi mitatu alafu tv lilikuwa lizito balaa, ila nilikuja kuwa mtoto mwenye adabu kuliko wote pale sana nyumbani
 
Aiseee nakumbuka mshua alikuwa zaidi ya mkoloni, nina dogo langu lilikuwa linapenda kujisaidia kwenye uzio kisa choo kipo mbali, siku ya siku mzee akamfuma alikula stick za kufa mtu na akamlazimisha kula mavi yake toka siku hiyo aliona choo kipo karibu ata kama ni night.
Mimi mwenyewe alileta stand mpya ya tv hizi za kichina sasa muda asiokuwepo uwa tunatoa tv tukalia juu mwingine anakusuma inakuwa kama starehe fulani hivi kwa ilikuwa na maraisi, sasa mwisho wa siku. nikiwa juu naendeshwa huku narukaruka ikavunjika, mzee aliporudi kauliza kila mtu kimya, akatuita chumbani alizungusha waya nne nne kwa kila mtu wenzangu uvumilivu ukawashinda wakanitaja, aiseee nilipigwa sijapata ona hadi leo alama ipo. Baada ya kipigo ikawa kila ikifika kipindi cha taarifa ananiita nashikilia tv kichwani mpaka amalize kuangalia taarifa ndio natua, it takes almost 3months ndio akaleta stand nyingine
🙂🙂🙂 mtaua watu mbavu
 
Mimi mpaka leo mzee nikimtembelea huwa tv inawashwa for taarifa tu. Halafu kuna baiskeli alitukataza kuitumia (hata kujifunza) lakini alikuja kushangaa pale mtaani mimi na dogo tu ndio tunajua kuendesha baiskeli.......

Ila siyo ukoloni
duu...hii hatari,kwa hiyo mzee akabaki anajiuliza mlikojifunzia
 
Matukio ya kikoloni ya Mzee wangu;
kwanza ilikuwa akirudi nyumbani usiku ile saa 3 au nne night akishatengewa chakula lazima niamshwe ati mi ndo mtoto mkubwa so ananiambia nisimame kijogoo (kwa mguu mmoja) mpaka amalize kula.

Pili, siku akiwa yupo nyumbani ilikuwa lazima 'nibebe dunia'. Yaani hapo ni dakika kama 10 hivi za kubeba miguu yake mabegani..
 
Matukio ya kikoloni ya Mzee wangu;
kwanza ilikuwa akirudi nyumbani usiku ile saa 3 au nne night akishatengewa chakula lazima niamshwe ati mi ndo mtoto mkubwa so ananiambia nisimame kijogoo (kwa mguu mmoja) mpaka amalize kula.

Pili, siku akiwa yupo nyumbani ilikuwa lazima 'nibebe dunia'. Yaani hapo ni dakika kama 10 hivi za kubeba miguu yake mabegani..
Nimesoma posts zote... wengine baba zao watoto tu, huyu wa kwako ndo baba sasa.

Shkamoo baba yako... Khaa!!
 
Daaa vimbwanga vya wazee wangu vingi xn ,,mojawapo anakununulia nguo over size lengo usimsumbue eti unakuwa nazo ,unajkuta upo class 3 lakini shati adi magotini ka kanzu ,kaputula adi kwenye visigino ,,pia bibi yangu anakzingua hapiki ka hujafanya anavotaka na akienda ulabuni kwenye kindoo chenye unga anachora lipicha lolote ju ya unga complex ili ukchota unga upke lazima aje atambue so nilkuwa nachora pembeni lipicha lake nachota unga then naichora tena picha ju ya unga
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Nakumbuka siku ya ckukuu nipo na madogo tushapanga kwenda zetu swimming na wana mtaani tushavaa tunaaga tu ili tupewe pocket money Mzee akasema haya chukua madaftari mezani kusoma hamna kutoka..dah full Kuchek tukamvizia kalala tukatoroka,kwenda swimming tukakutana na janga mtu kazama kafia ndani ya kina na aliyegundua ni mdgo wangu bas ikabidi aende peleka maelezo kituoni.daah na tulitoroka..kurudi tumekuja chukuliwa kituoni nyumbani tulichapwa na mbao sio fimbo [emoji23][emoji23][emoji23]..ukoloni kweli yan ckukuu mchana usome kitaingia kweli.
[emoji1] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
ebhana mi mzee wangu miaka hyo kitambo alikua amenunua ile deki ya mikanda vhs, sasa ikawa kila akimaliza kuangalia mkanda wake wa dame bs anairudisha chumbn,
Sasa kuna sku akaisahau sebleni na kwenda zake kazin.

Ikabid nisiende shule ili tu nitumie oppotunity hyo kuchek mkanda na mim,
Nkachuku mkanda nkaingiza kweny deki, bwana wee kumbe nlikua nimeugeuza bs ukawa umegoma kutoka!
Daah mpka saa tisa mzee karudi akakuta ile inshu afu mi nkawa nimesepa...! staki kukumbuka kile kichapo ila nakumbuka nlilala nje sku ile.
[emoji2] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji23] [emoji23]
 
Aiseee nakumbuka mshua alikuwa zaidi ya mkoloni, nina dogo langu lilikuwa linapenda kujisaidia kwenye uzio kisa choo kipo mbali, siku ya siku mzee akamfuma alikula stick za kufa mtu na akamlazimisha kula mavi yake toka siku hiyo aliona choo kipo karibu ata kama ni night.
Mimi mwenyewe alileta stand mpya ya tv hizi za kichina sasa muda asiokuwepo uwa tunatoa tv tukalia juu mwingine anakusuma inakuwa kama starehe fulani hivi kwa ilikuwa na maraisi, sasa mwisho wa siku. nikiwa juu naendeshwa huku narukaruka ikavunjika, mzee aliporudi kauliza kila mtu kimya, akatuita chumbani alizungusha waya nne nne kwa kila mtu wenzangu uvumilivu ukawashinda wakanitaja, aiseee nilipigwa sijapata ona hadi leo alama ipo. Baada ya kipigo ikawa kila ikifika kipindi cha taarifa ananiita nashikilia tv kichwani mpaka amalize kuangalia taarifa ndio natua, it takes almost 3months ndio akaleta stand nyingine
Duuh [emoji1] [emoji28] [emoji106]
 
Back
Top Bottom