Tukumbushane: Ulishawahi kuanzisha vagi au kuanzishiwa vagi Mtaani?

Sijawahi chokoza mtu ila vagi naliweza sana ,,waliowahi kunianzia wanajua !! Kutoa vagi moja tuu ilo nliisoma namba nlipata kichapo cha mbwa mwizi
 
Hufai kwa matumiz ya binadamu!! Kumbe kuna madem ukibambia umenunua kesi?😛😛
 
Mavalangati nikiyoanzisha hayahesabiki, mimi nilikuwa mzee wa sime, nilikuwa na sime mbili, mija ndefu balaa nyingine fupi.
Mimi na jamaa zangu nikiwa kinara nilimpiga jamaa bapa ya sime kila alieona japo ni usiku alipiga ukunga, walijua jamaa kafa, haikuishia hapo, jamaa wa mtaa tukiwafungia kutokupita kitaa kwetu mwaka mzima, kama vile hakukuwa na serikali.
Ujana ujinga, uhuni ujunga, ubabe ujinga, nikiwahi kulala polisi mara moja tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mara moja hii au!
 
Sijawahi chokoza mtu ila vagi naliweza sana ,,waliowahi kunianzia wanajua !! Kutoa vagi moja tuu ilo nliisoma namba nlipata kichapo cha mbwa mwizi
Kama mbabe vileee.. nije nikuanzishie vagi?
 
I see hakuna kitu ninachoogopa kama ugomvi iwe kupigana au maneno siwezi.
 
Hahaha.. hapo kama umenizidi ndiyo natumia viwembe
Tatizo asili jirani.
Mi Angu jiwe au kulia kama mtu simuwezi.na hii nilikuwa nalia kwa hasira ,kwanini huyu simuwezi.

Ila hiyo zana yako hiyo...sikuwahigi kuifikiria kabisa jirani.
 
Mkuu malizia tu

sent from my BlackBerry keyone using JamiiForums mobile app
 
Nilitaka kushangaa kama usingesema utotoni ulikuwa mtata.maana mwandiko wako unaonyesha bado kuna masalia ya utata.

chalii angu arusha sehemu gani mkuu me sombetini mbauda
 

mondoli hahaaaaaaa
 
dah!!...we chiqa uligeuka mtaekwondoo vile...
 
hayo mambo niliyaogopa wakati jamaa mmoja aliangushiwa dondi la kitaifa akaanguka chini akawa anapumua kwa taabu..baada ya dakika chache jamaa akapepesa macho na kuaga..usiwaone watu wanatembea mitaani wakijichachua na kujifanya wababe ukatamani kuchimbiana mbichi na wao..watu afya mgogoro utampuliza adunde chini kama gunia la viazi kumbe ndio mwisho wake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…