Tukumbushane vipindi vya ITV, CTN, na DTV 1994

Tausi
 
Umenikumbusha enzi hizo CNN wanatuletea live ya World War I kutoka katika viwanja tofauti tofauti accros Europe. Kuna mtangazaji momoja nimemsahau, mwaweza kunikumbusha.

Mniombee.
World War I live?????
Hhhahahaaa we jamaa kweli unaikumbuka ITV wengine tunaigiza tu.
 
Nani anakumbuka matamasha ya CORA africa toka bondeni aisee yalikua yananoga.

Nakumbuka kwa Mara ya kwanza Tanzania tuliwakilishwa na msanii flani wa kike matata na kibao chake cha "ngoma inogilee ngoma imekolea ngoma ya pwani tatata mdundikooo"

Nimemsahau ila alikuaga US na alishaokoka na kuacha secular.
 
You are good man! Memory kali kabisa and refreshing, asante sana
 
Kuna tamthilia ilikuwa inaitwa SUNSET BEACH balaaa saaana mpaka shule kwetu enzi hizo Forodhani ya kina Munira,Hemed Kavu,Hamisi Makaveli ilikuwa moto.....tukapatunga sehemu karibu na geti etiii SUNSET BEACH
 
Me Nakumbuka CTN na Movie zao za TNT zingine hazina Color lakini unakomaa unatizama hivyo hivyo Deck ya Video haichelewi kuchafuka pesa za kukodisha mikanda cheche ilipandishwa bora ununue chips... maana unaweza kodisha mkanda umeme umekatika na wakodishaji wanautaka na hujautizama bulshait
 
Nakumbuka world Cup 94 me na brother tunacheki mpira nilikua kidato cha 3
 
Neighbor, everybody need good neighbor........ Halafu kulikuwa na mziki wa kibongo unasumbua enzi hizo sijui nani kapiga. Kukurukakala zako wewe zitakuponza acha we acha we, kukurukakala zako wewe zitakuponza brother sister.
Ayayayaaa! Mkuu umenikumbusha hiyo tamthiliya kama sijakosea ilikuwa weekdays saa moja usiku.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…