pettymarcel
JF-Expert Member
- Jun 17, 2012
- 2,161
- 880
Days of our life
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sie nakumbuka tulikuwa tunamuita rino renz hahahahaHahahaha enzi izo uyo jamaa tulikua tunamuita Rolenzo mkuu ...sasa sikumbuki kama ndo lilikua jina lake
Kama una njuruku za kutosha nunua DSTV mkuuJaman mimi ni mpenz wa tamthilia sana je ninunue kingamuz gan ambacho naweza pata tamthilia bandika bandua kama ilivochanel za michezo? Msaada plz
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kuna mtu shule alikua anafanana na oshin tujawa tunamuita hvyooOshini"
Naskia aliolewaga yupo marekaniOld is Gold acha kabisa. Hivi huyo Rahma yupo wapi saizi
Hahahaha!! Mimi sikuamini kabisa nilidhani stori za mtaani tu, yani sikuamini katu katu [emoji3] [emoji1]Enzi hizo nakaa M/mala natoka shule pale Mwinyuma nakuta watu kibao...!!kuuliza Siti kaja nkamuambia konda nshushee...
Mbio mpk kwao na nisimuone[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hapo mtangazaji alikuwa lulu aftr faizaWatoto show
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Enzi hizo tena!Hahahaha!! Mimi sikuamini kabisa nilidhani stori za mtaani tu, yani sikuamini katu katu [emoji3] [emoji1]
Nilikuwa nafuatilia ingawa cjui wanaongea nn, mpaka inaisha niko nayoITV kulikuwa na The Bold and the beautiful
Nimekumbuka Cheka na CTN