Kijana Wa Makamo
JF-Expert Member
- Oct 10, 2015
- 212
- 116
Kwa upande wa watoto kuanzia 4pm mpaka 6pm🙂
View attachment 402173 View attachment 402174 View attachment 402175 View attachment 402177 View attachment 402178 View attachment 402179 View attachment 402180
Mister T ( r.i.p )
Katika matangazo nilokuwa nayapenda moja wapo la revola.
'Tueleze siri ya mafanikio,
Sio siri, ni revola,
Revola pekeyake?
Ndio, kwani marashi yake ni tulivu na huniweka fresh mchana kutwaa.
Yalikuwa kama matatu tofauti, ila me nilikuwa nalipenda la yule mdada alokuwa anafanya mazoezi, ile lafudhi yake ilikuwa tamu na mbwembww zake.
Jengine la maji ya kilimanjaro.
'Maji safi kilimanjaroooo'
Tangazo la colgate la watoto, na tangazo la fanta la watoto pia.
Tamthilia nilokuwa naipenda ni Acapulco bay.
Namkumbuka na Bishanga bashaiga,Seki anaigiza kama mtoto wa kishua aliyepinda.
nakumbuka sun seat beach ilikua ikianza tunafukuzwa kulala
Neighbor, everybody need good neighbor........ Halafu kulikuwa na mziki wa kibongo unasumbua enzi hizo sijui nani kapiga. Kukurukakala zako wewe zitakuponza acha we acha we, kukurukakala zako wewe zitakuponza brother sister.
Kuna tamthilia ilikuwa inaitwa SUNSET BEACH balaaa saaana mpaka shule kwetu enzi hizo Forodhani ya kina Munira,Hemed Kavu,Hamisi Makaveli ilikuwa moto.....tukapatunga sehemu karibu na geti etiii SUNSET BEACH
Dah aisee hizo memories zimenibamba kinyama.Enzi Mr.T na the A Team.Love thy neighbour ile tamthiria kijamaa kina upara kinaruka kamba na watoto.Police Academy.
Miziki ya west Africa kina Yossou Ndou,Angelica kidjo.
Kuna the roots ya kina kunta kinte.
Kale katoto kaliimba "Tanzania eeh nakupenda... alichanganya na kijapan.
Football enzi za kina babayalo,uche ukochuku hiyo Atlanta olympic 1996.pia enzi za kina Mc Fish yaani nilikuwa nimebandika stickers zao nyuma ya mlango.
[emoji122] yes sijui yuko wapi sa hivi yule jamaa
Anaitwa misanya Bingi saizi yuko university of dar es salaam ni Dr pale anawapiga vijana wetu shule
Kpnd hicho nakumbuka sisi CTN na DTV ilikuwa ni chenga za kupikia ubwabwa kisa antenna ya jembe na busta hatuna
Sent using Jamii Forums mobile app
Isidingo the need , na bado kitu kinawasha moto hatare
Tamthilia ya The passion, nmemkumbuka timmy, bibi mchawi tabitha, kay, miguel, simone
Pia The crow