Tukumbushane vipindi vya ITV, CTN, na DTV 1994

Tukumbushane vipindi vya ITV, CTN, na DTV 1994

Nakumbuka Perfect Strangers, Nunca te Dire, Days of our lives(John Black, Sami, Malena, Nicolas, Stefano Di Mera, Hope). Watoto wasafi moyoni, Martina Chambiri.
 
Kipindi hicho tulikua tunakariri nyimbo zotw za matangazo kama sigara Sm sigara sweetmenthol ni maarufu tanzania yoteee nimesahau maneno,taifa letu tanzania,gazeti letu tanzania mnakumbuka?revolaaa aaa revolaaaa,ule wimbo w chai jaba pia
Hahahaa! Chai jaba nzuri, yenye nguvu na idumu maishs yote chai jabaa..kikombe cha urafikii... Tulikuwa wengi mkuu.
Jina Halisi ni Jaleel Ahmad White!

Jina la kuigizia "Steve" Urkel!

View attachment 402212

Ha ha asee ilikuwa na kasound track flan hvi
 
Me Nakumbuka CTN na Movie zao za TNT zingine hazina Color lakini unakomaa unatizama hivyo hivyo Deck ya Video haichelewi kuchafuka pesa za kukodisha mikanda cheche ilipandishwa bora ununue chips... maana unaweza kodisha mkanda umeme umekatika na wakodishaji wanautaka na hujautizama bulshait
CTN naona ilikua ya miziki sana na international programs.
 
Wana jamvi leo nimeona japo turevew miaka hii ya nyuma vipindi vya television enzi zile 1994 kuibukia miaka ya 2000. Binafsi nakumbuka mbali sana hasa vipindi vya television ITV mfano Egoli place of Gold, 21 jump Street, Time trax, movie ya V, Rino Renz, vichekesho Kama Fresh Prince of bell air, family matters, Living Single ya Queen Latifa, Tausi ya mjuba, Vitimbi(masakuu, Ojwang' Othrong'ong'o) Vioja Mahakamani, Mambo hayo ya kina Waridi, Sumbi, bocha na Aisha. Pia kulikuwa na Tamthiliya kama The young and the restless, Sun seat beach, na Acapulco bay.

Aidha nakumbuka tulikuwa tunaangalia UEFA kupitia CFI(Canal France International). Matangazo nakumbuka kama Revola, komoa, lotion ya Jambo, hebu vingine mnisaidie CTN na DTV. Je kipindi kile watangazaji unawakumbuka? Wa ITV, CTN, na DTV. Mimi kwa itv namkumbuka Suzan Mongi nilimpenda sana sana. Karibuni tuflash back jamani.
Dah aisee hizo memories zimenibamba kinyama.Enzi Mr.T na the A Team.Love thy neighbour ile tamthiria kijamaa kina upara kinaruka kamba na watoto.Police Academy.

Miziki ya west Africa kina Yossou Ndou,Angelica kidjo.

Kuna the roots ya kina kunta kinte.

Kale katoto kaliimba "Tanzania eeh nakupenda... alichanganya na kijapan.

Football enzi za kina babayalo,uche ukochuku hiyo Atlanta olympic 1996.pia enzi za kina Mc Fish yaani nilikuwa nimebandika stickers zao nyuma ya mlango.
 
Nani anakumbuka matamasha ya CORA africa toka bondeni aisee yalikua yananoga.

Nakumbuka kwa Mara ya kwanza Tanzania tuliwakilishwa na msanii flani wa kike matata na kibao chake cha "ngoma inogilee ngoma imekolea ngoma ya pwani tatata mdundikooo"

Nimemsahau ila alikuaga US na alishaokoka na kuacha secular.
Huyu alikuwa anaitwa Renee Lamira
 
Dah aisee hizo memories zimenibamba kinyama.Enzi Mr.T na the A Team.Love thy neighbour ile tamthiria kijamaa kina upara kinaruka kamba na watoto.Police Academy.

Miziki ya west Africa kina Yossou Ndou,Angelica kidjo.

Kuna the roots ya kina kunta kinte.

Kale katoto kaliimba "Tanzania eeh nakupenda... alichanganya na kijapan.

Football enzi za kina babayalo,uche ukochuku hiyo Atlanta olympic 1996.pia enzi za kina Mc Fish yaani nilikuwa nimebandika stickers zao nyuma ya mlango.

Mjomba mtoto anaitwa martina aliimba lugha ya kitaliani
cb04e7f92ea8bfc42ec4b2726cc752ba.jpg
 
Dah aisee hizo memories zimenibamba kinyama.Enzi Mr.T na the A Team.Love thy neighbour ile tamthiria kijamaa kina upara kinaruka kamba na watoto.Police Academy.

Miziki ya west Africa kina Yossou Ndou,Angelica kidjo.

Kuna the roots ya kina kunta kinte.

Kale katoto kaliimba "Tanzania eeh nakupenda... alichanganya na kijapan.

Football enzi za kina babayalo,uche ukochuku hiyo Atlanta olympic 1996.pia enzi za kina Mc Fish yaani nilikuwa nimebandika stickers zao nyuma ya mlango.
Zile mechi Nigeria wanawapiga Argentina na Brazil 1996 Olympics ,kuna matukio nayakumbuka hadi leo.
 
Back
Top Bottom