Muzine
JF-Expert Member
- May 4, 2017
- 32,366
- 60,453
Ulitaman kummezaaaaNilidanganywa niende Ubungo kuna mzigo nimetumiwa
Na mimi bila kuwaza nikaenda..namuuliza niende ofisi gani
Ananiuliza leo tarehe ngapi vilee....hahahaa wee mwanaume wewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulitaman kummezaaaaNilidanganywa niende Ubungo kuna mzigo nimetumiwa
Na mimi bila kuwaza nikaenda..namuuliza niende ofisi gani
Ananiuliza leo tarehe ngapi vilee....hahahaa wee mwanaume wewe
Pole sana mkuu[emoji23] [emoji124]Nilidanganywa niende Ubungo kuna mzigo nimetumiwa
Na mimi bila kuwaza nikaenda..namuuliza niende ofisi gani
Ananiuliza leo tarehe ngapi vilee....hahahaa wee mwanaume wewe
Yaani acha tuUlitaman kummezaaaa
Asante sanaaPole sana mkuu[emoji23] [emoji124]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]naona id zako zimeunganishwaa leo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124]Mi nakumbuka Nilikua njiro Arusha kuna jamaa flani akanipigia simu asubuhi sana akaniuliza upo wp nikamjibu nipo home njiro nanenane,, akaniambia acha ujinga ww toka haraka panda daladala njoo mjini hapa mnara wa mwenge Vodacom wanamwaga simu bure contena mbili,, Fanya haraka uchague unayotaka
Kwakweli nikikumbuka hili tukio hua najiona kweli Nilikua mjinga ile siku
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Wakuu huu Uzi ni kwa ajili ya kushare different stories ya umbandu mbandu uliokutokea sikukuu pendwa ya wajinga ..kwangu Mimi siji sahau siku ambayo swalehe alikuja kuniamsha kwamba nje kuna simba na chui na mtaa mzima umekimbia tumebaki sisi tuu na hang over za usingiz[emoji124] nilichokifanya ... Hebu share nasi kiroja kilichokukuta ... __ chai ruksa ila isikolee sana sukar
Mkuu share nasi Mkuu .... Mi Leo kuna jamaa kaniletea kadi ya harus hafu anayemwoa mamaeee ... Hii siku mbaya sana [emoji23] [emoji109] [emoji124][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mkuu bado nakusanya mafaili maana vionja ni vingi mnoMkuu share nasi Mkuu .... Mi Leo kuna jamaa kaniletea kadi ya harus hafu anayemwoa mamaeee ... Hii siku mbaya sana [emoji23] [emoji109] [emoji124]
Karibu mkuuMkuu bado nakusanya mafaili maana vionja ni vingi mno
Haaaaaaaaaaaaaa spati picha ulivyotoka ndukiMi nakumbuka Nilikua njiro Arusha kuna jamaa flani akanipigia simu asubuhi sana akaniuliza upo wp nikamjibu nipo home njiro nanenane,, akaniambia acha ujinga ww toka haraka panda daladala njoo mjini hapa mnara wa mwenge Vodacom wanamwaga simu bure contena mbili,, Fanya haraka uchague unayotaka
Kwakweli nikikumbuka hili tukio hua najiona kweli Nilikua mjinga ile siku
Hahaaaa pole best kitumbua kileee kama nakuonaMimi nilidanganya nikitolewa bikra itarud looh kumbe ndo naliwa kitumbua hivyoooo
Wewe mwanaume bring back my sealead pus.sy
Acha tuuuHahaaaa pole best kitumbua kileee kama nakuona
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Mimi nilidanganya nikitolewa bikra itarud looh kumbe ndo naliwa kitumbua hivyoooo
Wewe mwanaume bring back my sealead pus.sy