satininus
Senior Member
- Feb 11, 2021
- 135
- 171
Kila timu hizi kubwa huwa kuna nafasi za wachezaji uwanjani ambazo kila msimu wanakuwa na wachezaji mahiri sana yaani superstars
Naanza kuwataja wachezaji waliochezea namba mbili Simba Sports Club; Shabaan Baraza,Dawood Salum(Bruce Lee), Jamhuri Kiwelo, Isihaka Hassan Mwitu, Raphael Paul RP, Shomary Kapombe.
Naanza kuwataja wachezaji waliochezea namba mbili Simba Sports Club; Shabaan Baraza,Dawood Salum(Bruce Lee), Jamhuri Kiwelo, Isihaka Hassan Mwitu, Raphael Paul RP, Shomary Kapombe.