Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
Kwa Tanzania imekuwa kama utamaduni. Ushirikina umeshika chat sana katika mpira wetu. Mbaya zaidi ni wachezaji wa Team mmoja kufikia hatua nao wanarogana wakigombea namba.
Team moja kubwa hapa Dar ina mchezaji huyo nasikia ukiletwa namba yake hutodumu. Anakupiga misumali. Unapata jeraha hata ukiwa kitandani. Yaani unageuka kitandani usiku kiuno au goti linavunjika. Miezi 6 unapata matibabu.
Mwingine mkichuana kwenye namba ukipangwa wewe goli hulioni sehemu sahihi. Pale unapoliona goli ukashoot kumbe umelenga mpira kwenye kibendera cha kona. Watu hawakuelewi kabisa. Unaanza pigwa bench
Kuna kipa anasema siku akipangwa yeye huwa anaona mipira mitatu yote inakuja golini so anafanya kuotea tu halisi ni upi. Akikosea anadaka panzi ule halisi unaingia golini.
Team moja kubwa hapa Dar ina mchezaji huyo nasikia ukiletwa namba yake hutodumu. Anakupiga misumali. Unapata jeraha hata ukiwa kitandani. Yaani unageuka kitandani usiku kiuno au goti linavunjika. Miezi 6 unapata matibabu.
Mwingine mkichuana kwenye namba ukipangwa wewe goli hulioni sehemu sahihi. Pale unapoliona goli ukashoot kumbe umelenga mpira kwenye kibendera cha kona. Watu hawakuelewi kabisa. Unaanza pigwa bench
Kuna kipa anasema siku akipangwa yeye huwa anaona mipira mitatu yote inakuja golini so anafanya kuotea tu halisi ni upi. Akikosea anadaka panzi ule halisi unaingia golini.