Tukumbushane Wachezaji wanaopiga wenzao Miba na Team zao

Tukumbushane Wachezaji wanaopiga wenzao Miba na Team zao

Endeleeni kukalisha mapumbu huku mkijua maisha ni rahis kama mnavyokula barger
Yaani unamuonea wivu mtu usiemjua 🤣🤣,Maisha magumu kwako ndo mana nalalama humu kwenye jukwaa la sports
 
Yeah Legend wa kichawi. Kaseja ni mshirikina sana. Ninaishi na wana Simba (Legends) hapa mtaani na wanamsema hivyo. Uzuri ni kwamba si hawa tu jamaa wanamsema Kaseja, jamaa ni mshirikina haswa na anafahamika mno kwa wenzake katika timu alizokuwa anachezea.
Kwahiyo ushirikina ndo umemfanya Kaseja awe Kaseja(Tanzania one) ?
Ngoja nikwambie kitu ndugu yangu..mambo ya Kishirikina kwenye mpira yapo kuanzia kombe la kuku mpaka ligi kuu...bt mara zote quality huamua...sasa mbona Kaseja kazeeka lakini hayupo Simba,Yanga au Azam kama ishu ni uchawi? au hataki mishahara minono kama wenzie?acha hizo bana.
 
Kwahiyo ushirikina ndo umemfanya Kaseja awe Kaseja(Tanzania one) ?
Ngoja nikwambie kitu ndugu yangu..mambo ya Kishirikina kwenye mpira yapo kuanzia kombe la kuku mpaka ligi kuu...bt mara zote quality huamua...sasa mbona Kaseja kazeeka lakini hayupo Simba,Yanga au Azam kama ishu ni uchawi? au hataki mishahara minono kama wenzie?acha hizo bana.
Alalae haamshwi, kwa heri!
 
drogba alimpiga misumali Tores mpaka pale alipokubali yeye mwenyewe kumwachia baada ya kumpa mkono ktk mechi pekee ya uefa amabyo chelsea ilishinda uefa.


kama kuna mtu aliangalia mechi ya Namungo yule salamaba anadalili ya kupigwa misumali kwa sababu kwa kawaida wapiga misumali ni wale wanaoitumikia klab halafu anakuja fala kuchukua sifa na kuchukua namba yake hahaaaaaaaaaaaaa
🤣🤣
Hamna siku nilipata "mawazo mabaya" na kumuonea huruma Sana Salamba Kama ile mechi ya JUZI looh mtu anaingia tu na kuumia....watakuambia alikuwa na "poor warming up"🤣

Maskini Salamba...
 
Nani kakuambia,mugalu ile ndio bye bye kama hujui
Mkuu mimi ngojea nimtetee BOCCO...
Kuna mganga wangu mmoja alinipenyezea UDAKU kuwa BOCCO alishawahi kuwaudhi "wadau" kipindi kile kabla ya mechi ile "waliyopigwa na UD SONGO...

Kuwa Mlokole na mchamungu Captain John Bocco alikataa katakata "vumba mujarabu" ya kuwa yeye anamtumainia YEHOVA...
Hakutumia...

Kuna wadau wanadai baadhi ya hiyo "mivumba" huwafanya wanakuwa wazito na mnyong'onyeo mno....

Bwana eee John ni muumini mzuri Sana wa NGUVU ZA YEHOVA WA MBINGUNI....
 
drogba alimpiga misumali Tores mpaka pale alipokubali yeye mwenyewe kumwachia baada ya kumpa mkono ktk mechi pekee ya uefa amabyo chelsea ilishinda uefa.


kama kuna mtu aliangalia mechi ya Namungo yule salamaba anadalili ya kupigwa misumali kwa sababu kwa kawaida wapiga misumali ni wale wanaoitumikia klab halafu anakuja fala kuchukua sifa na kuchukua namba yake hahaaaaaaaaaaaaa
TORRES AMEJIUNGA NA CHELSEA 2011 SASA KAMA DROGBA ALIMPIGA MISUMARI TORRES KWANINI DROGBA AONDOKE CHELSEA 2012?
JAMANI ULAYA MSINGI UWEZO SIO UCHAWI ,KAMA NI UCHAWI TUNGEKUA NA AKINA SAMATTA HATA 100 ULAYA
 
TORRES AMEJIUNGA NA CHELSEA 2011 SASA KAMA DROGBA ALIMPIGA MISUMARI TORRES KWANINI DROGBA AONDOKE CHELSEA 2012?
JAMANI ULAYA MSINGI UWEZO SIO UCHAWI ,KAMA NI UCHAWI TUNGEKUA NA AKINA SAMATTA HATA 100 ULAYA
Umeanza kumwangalia drogba na Torres link. Mkuu?
Angalia ile mechi ya uefa itakupa kitu kichwani...Torres alikuwa hadi kupiga penati anaogopa kwa kuandamwa na kukosa magoli lakini ile mechi drogba anafanyiwa sabu na dimateo anatoka anampa mkono Torres toress anaenda kutupia nyavu...
 
[emoji1787][emoji1787]
Hamna siku nilipata "mawazo mabaya" na kumuonea huruma Sana Salamba Kama ile mechi ya JUZI looh mtu anaingia tu na kuumia....watakuambia alikuwa na "poor warming up"[emoji1787]

Maskini Salamba...
Kumbuka hakugusa hata mpira ...yaani kaumia mwenyewe sasa unadhani mechi ijayo kocha atasafiri naye ! Hawezi koz atahofia kwenda na mtu halafu ataumia
 
Umeanza kumwangalia drogba na Torres link. Mkuu?
Angalia ile mechi ya uefa itakupa kitu kichwani...Torres alikuwa hadi kupiga penati anaogopa kwa kuandamwa na kukosa magoli lakini ile mechi drogba anafanyiwa sabu na dimateo anatoka anampa mkono Torres toress anaenda kutupia nyavu...
mechi gani ya uefa? kufeli kwa torres chelsea hakukusababishwa na drogba mkuu na ndo mana drogba alipoondoka 2012 bado torres alifeli chelsea

kwamaana hiyo hata hazard anapigwa misumari madrid? mpira upo hivyo mku torres aliperfome sana liva akashindwa chelsea

robben alishindwa kuperfome madrid akaja kuwika sana beyern
 
Back
Top Bottom