amu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2012
- 16,132
- 31,149
Wewe ni baba yangu.Ili owe nini
Shikamoo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ni baba yangu.Ili owe nini
Wewe mtoto mkuu. Kwanza soda zilikuwa mjini tu. Soda iliyotamba ilikuwa pepsi 300ml sh 6 tu. Na hapo imepanda bei
Hii nakumbukaNilianza darasa la kwanza shule ya msingi serikali ada shilingi 200
😂😂😂😂😂 Aisee, Safi sana kipindi hichoChips yai sh 5 enzi hizo ndio Chips za mitaani zinaanza,Kwenye mabaa ilikuwa ni mwendo wa Ndizi choma na kuku au nyama choma, Kwa mpemba pale karibu na Hongera baa Chuo cha Ustawi lazima ukutane na foleni ya watu wanasubili Oda yao na enzi hizo Chips ilikuwa km appetizer tu ,unagonga chips yai hlf ukirudi Home Menu kama kawa.
Unajiona uzee wapi! Kiuongo kipi I mean.Kumbe bado nadai, basi najionaga mzee
Shimba acha uongo, we sekondari si umesoma juzi juzi tu hapo[emoji134]Wakati tunasoma sekondari miaka ya 60 - 70 tulikuwa tunasafiri kwa warrant za serikali; na tukifika shuleni tunarudishiwa pesa zote tulizotumia safarini. Tulikuwa tunafuta nauli kwenye tiketi na risti zingine za gari na mapochopocho ya njiani na kuweka namba kubwa ili turudishiwe pesa zaidi. Ufisadi na upigaji vilianzia hapa [emoji16][emoji16][emoji16]
Mwili mzimaUnajiona uzee wapi! Kiuongo kipi I mean.
Nakumbuka mbaaali saana aseee
BEI NI NUSU LAKI ENDESHA VIZURI
Gari moja la jeshi. Asee
Tabora na Tanga sitoisahau hii mikoa
Tanga niliambilia ndoo
Tabora niliambulia meza ya duara na kukunja