Tukumbushane wahenga vitu tulivyonunua enzi hizo na bei zake

Shikamoo baba na mama zangu, maana sisi wa under 30 hautuhusu, nimeanzia sh5 kutumia
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Aisee, Safi sana kipindi hicho
 
Shimba acha uongo, we sekondari si umesoma juzi juzi tu hapo[emoji134]
 
Reactions: amu
Nakumbuka mbaaali saana aseee

BEI NI NUSU LAKI ENDESHA VIZURI

Gari moja la jeshi. Asee


Tabora na Tanga sitoisahau hii mikoa
Tanga niliambilia ndoo
Tabora niliambulia meza ya duara na kukunja
 
Ndiyo hata basi ya uda yalikuwa yameandikwa hivyo
Nakumbuka mbaaali saana aseee

BEI NI NUSU LAKI ENDESHA VIZURI

Gari moja la jeshi. Asee


Tabora na Tanga sitoisahau hii mikoa
Tanga niliambilia ndoo
Tabora niliambulia meza ya duara na kukunja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…