Tukumbushane; Wakumtoa Kafara haujichagulii mwenyewe isipokuwa unachaguliwa

Tukumbushane; Wakumtoa Kafara haujichagulii mwenyewe isipokuwa unachaguliwa

Ukisoma vizuri Uzi wangu nafikiri utaelewa vizuri namaanisha Jambo gani.

Nimeelezea mambo Kama Starehe, nimetaja sehemu Afya, nimetaja mahali elimu kubwa n.k.

Hao kina Solomon huenda huwajui vizuri na Ka unataka nikujuze basi nitafanya kazi hiyo.

Solomon kisheria hakupaswa kuwa mfalme kulingana na kanuni za kifalme za wakati ule, aliyepasqa kuwa mfalme ni Kaka yake Kwa Mama mwingine kwani yeye ndiye alikuwa mkubwa, Solomon aliamuru Kaka yake auawe kusudi asije akamsumbua hapo mbele.
Unafikiri hiyo ni nini?

Huyo Ayubu ili athibitike ni mkamilfu ulifikiri akipewa ukamikifu bure Kwa kuletewa mezani Kama mkate,
Hujui ni Mali kiasi gani alizofilisika huyo Ayubu?
Hujui ni maumivu kiasi gani alipita watoto wake wote Saba walipokufa vifo vya ajabu?
Hujui ni kiasi gani aliteseka alivyoumwa manusura age?
Au ulidhani hiyo kafara/sadaka inayotajwa hapa ni nini?

Wewe ndiye umejikita kwenye ushirikina na huenda ni mshirikina Kama sio mchawi. Mada yangu imeeleza pande zote mbili, upande wa Mungu na upande wa Shetani, lakini Kwa vile wewe ni mchawi umeona upande WA Shetani upande wa Mungu hujaona.

Uliambiwa ukiwa na Yesu ndio hutatoa kafara🤣🤣🤣 kuna watu wajinga Sana.
Huyo Yesu mwenyewe alijitoa kafara sembuse ninyi mnaomuamini?
Yeye alitaka kukomboa Wanadamu, ulifikiri angekomboa kienyeji na kirahisi ili apewe sifa za kipuuzi pasipo kujitoa kafara,

Lakini naomba nisikulaumu sijui unaelimu gani na pia sijui namna akili yako inavyofanya kazi.
Sasa ukisema siwajui vizuri, unapashwa kuweka hoja pale walipokwenda kwa waganga, wakatoa kafara za watu, kama wewe una taarifa hizo. Mimi nimesema hawakufanya ushetani huo.

Pia, umekosa kuelskeza kwa ushetani tu, utadhani kwamba mafanikio hutoka kwa shetani tu. Kama ndivyo hivyo, ungekuwa bayana kwa kuandika wale watoto wa shetani, baba yao huwa na mashrti hayo. HUwezi kusema general wakati wewe unawakilisha upande wa giza tu, na hujui mafanikio ya upande wa nuru.
 
Back
Top Bottom