Tukumbushane Wakuu wa Mikoa wa miaka ya nyuma

Tukumbushane Wakuu wa Mikoa wa miaka ya nyuma

Mama Chips, Rwegasira na Mzee Songambele walikuwa Ma RC DSm

Mikoani nawakumbuka Anatory Tarime Iringa
Kigoma Mwanzoni Mwa 1990s alikuwa Chrisant Maji ya Tanga Mzindakaya

Shinyanga early 1970 alikuwa Kingunge Ngombale Mwiru

Abubakar Mgumia

Lindi Mh. Nicodemus Banduka

Kagera 1990s alikuwa Philip Japhet Mangula na hata ukatib wa CCM wakat wa Mkapa aliupata 1997 akitokea Kagera

William Lukuvi RC Dsm
 
Back
Top Bottom