Tukumbushane Wanasoka wakorofi, watukutu na wababe katika Soka.

Alikuwa akikutana Roy keane Vs Patrick viera kuna mmoja lazima apate kadi nyekungu au Martin kewon Vs eric Cantona lazima zichapwe na mtu alimwe red card
 
Gattuso Ac millan
Huyu na Paul Scholes walikua hawawezi kumaliza mechi bila kadi
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji460] [emoji460] [emoji460] [emoji815] [emoji815] [emoji815]
 
Binafsi nadhani soka kwa sasa imeshuka kwa kweli. Wakati mwingine wachezaji wa aina ya akina (Roy Keane, Patrick Viera, Paul Ince, Edmundo, Efenberg, Marco Materazzi, Keown nk) walichangamsha soka. Lakini kwa soka la sasa figure kama hizo hazipo tena. Mfano ukiangalia team za England, Italia, Argentina, German nk ni nyepesi mnooo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…