Tukumbushane wasanii ambao ni watoto wa kitajiri ambao hawafanyi Mziki kwa sababu ya njaa

Mbona sijaona jina langu hapo ,au Mimi ni msanii njaa
 
Umechukulia serious hiyo list boss
 

Duh eti familia za kitajiri!
 
Hakuna mtu asiyependa kuongeza kipato wewe
 
GWAMAKA KAIHULA (GK) MAMAKE ALIKUWA MWALIMU CBE AKAZINGUANA NA MKUU WA CHUO AKAINGIA CHADEMA AKAUKWAA UBUNGE VITI MAALUMU SERIKALI YA KIKWETE NA PIA ALIKUWA ACTIVIST WA TGNP
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…