Tukumbushane: Wimbo bora wenye jina la kike...

CLARA OOH MAMA SIKUDHANI KAMA UTANIKATAAAAAAAAAAAAAAAAAA...........!clara ooohh maaaamaaaaaaa!

dah!nilipiga sana keyboard enzi zangu
 


Wewe Mkali........!
 
Kaka unatisha si kidogo,nimekuvulia kofia,au mwenzetu unakachip kwenye head,ha ha ha ha.

Ukweli ni kwamba mimi ni mpenzi sana wa muziki wetu wa Dansi na kwenye Music library yangu nina hazina /miziki si haba..Naisikiliza kila siku hii
 
King Kikiii _ Kitambaa cheupe ( Zipola)
i love this song wapendwa duh
''...nainua mkono mamaaaa.........KITAMBAA CHEUPEEEEEEE
ishara ya mapenzi mamaaaa........OHHHHH ZIBORAAAA

mamaaaa zibo mamaa zibo ZIBORAAAA OOOHHHOO MAMAAAAAAAAA!


CHUNGULIAAAAAAAAAAAAA!...''

dah!😀
 
Ukweli ni kwamba mimi ni mpenzi sana wa muziki wetu wa Dansi na kwenye Music library yangu nina hazina /miziki si haba..Naisikiliza kila siku hii

I can see,mie nilipokuwa o'level nilikuwa nina uhusiano mzuri sana na RTD, baada ya hapo si bongo flevor zikachukua nafasi,siku hizi moja moja sana.Hongera sana.
 
GEORGINA, NEEMA, SIWEMA..TATU BORA..Any ways nyingi ziko bomba.. lol mwanakijiji umefikiri vp huku..could never think of this..nways great idea lol..zingine za enzi mpk leo zimetulia!
 

Mwaveja sana....mwanawane......! ngoja nianze kuegesha......!
 
SREDI nimeipenda,sema ndo ivo nimeichelewa/....lol
 
Ukweli ni kwamba mimi ni mpenzi sana wa muziki wetu wa Dansi na kwenye Music library yangu nina hazina /miziki si haba..Naisikiliza kila siku hii

Ngoja niku-PM on this....ha!ha!ha!ha!aaaaaa
 
[...

Duniani kuna mengi sawa sawa na bahari kuna papa na nyangumi tena wale wa hatari hawapendi kuiona meli yetu bahari[/QUOTE]

Watafanya kila jia waifupishe safari.
Huu wimbo alikuwa naupenda jamaa yangu enzi hizo Kasulu-Kigoma, RTD pekee ukibahatisha KBC kupitia SW 2 unakutana na Katitu.
 
Niko hapa nasikiliza "Christina Moshi" Rudia posti ya mwanzo nitawapatia nilizonazo hapa na kama kuna mtu anazo angependa kushare nitumie kwenye email yenye jina la "mwanakijiji" kwenye anuani hii ya jamiiforums.

"tulipokubaliana kwa hiari, tulikuwa wawili, watatu mungu wetu!!" .. kibwagizo mwah.. silali leo; mtakoma!
 
[...

Duniani kuna mengi sawa sawa na bahari kuna papa na nyangumi tena wale wa hatari hawapendi kuiona meli yetu bahari

Watafanya kila jia waifupishe safari.
Huu wimbo alikuwa naupenda jamaa yangu enzi hizo Kasulu-Kigoma, RTD pekee ukibahatisha KBC kupitia SW 2 unakutana na Katitu.[/QUOTE]

rudi kwenye posti ya kwanza.. ujikumbushie!!
 

thanks balatanda nimekukubali
 
Lakini mwanakijiji mbona unataka zenye majina ya kike tu😉
 
Salama by Jabali la Muziki

Wapi salama, salama nakuomba
salama nakwita mamaa
umenipa machozi, machozi yasiyokwisha
nifanyeje mwana mamaa

nikilala naota sura yakoo
nikitembea nasikia waniitaa
nageuka sikuoni mwana mamaa
nauliza uko wapi mwana mamaa
 
kumbe kuna wapenzi wa dansi humu.. nilidhani kizazi cha bongo flava ndio kimeshatu waipu auti!? Then there is hope for some old folks! Maana wengine tumezoea minesoneso ya taratibu.. mambo ya kufokeana masikioni hatuwezi..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…