Aza Aza, waraka ulotuma nimepata, punguza wasi kijana,
Kuna mengi nimesikia lakini, ah! Nimedharauuuuuuu!!!
Kuna
Aza ya Hemedi Maneti na Vijana Jazz,sijui ndo hii waizungumzia ama..
Aza ee umelikatili pendo langu,(Maneti) Aza Aza mbona nilikwisha kuamini,ahadi ya kwetu,ahadi ya ndoa vipi sasa Aza eeh
Mama yoyoyoyoyo sheri wangu Aza ee,Mama yoyoyoyoyo sheri wangu Aza ee,Mama yoyoyoyoyo Azamela naumia(rudia tena)
Barua yako Aza eeh ilinishangaza hasa ulipoeleza umevunja mipango ya ndoa,lakini Aza ni kipi kilichokusibu hadi Aza ugeuke na kumbe tulishapanga
Barua yako Aza eeh ilinishangaza hasa ulipoeleza umevunja mipango ya ndoa,lakini Aza ni kipi kilichokusibu hadi Aza ugeuke na kumbe tulishapanga
Ningelikwisha oa toka siku za nyuma,lakini ilibidi nisubiri ahadi,umalizie kozi,ya masomo Tabora
Ningelikwisha oa toka siku za nyuma,lakini ilibidi nisubiri ahadi,umalizie kozi,ya masomo Tabora
Aza Aza mama umenipa aibu kwa ndugu na jamaa zangu Aza ee,Aza Aza mama umenipa aibu kwa ndugu na jamaa zangu Aza ee
(Maneti)Matarajio yangu Aza ee,ni kushi pamoja vipi leo Aza ee umenigeuka
Aza Aza mama umenipa aibu kwa ndugu na jamaa zangu Aza ee,Aza Aza mama umenipa aibu kwa ndugu na jamaa zangu Aza ee
(Maneti)Matarajio yangu Aza ee,ni kushi pamoja vipi leo Aza ee umenigeuka
Aza Aza mama umenipa aibu kwa ndugu na jamaa zangu Aza ee,Aza Aza mama umenipa aibu kwa ndugu na jamaa zangu Aza ee
(Maneti)Aza wangu mama ee unanishangaza Aza ee,vip leo Aza ee umenigeuka
Aza Aza mama umenipa aibu kwa ndugu na jamaa zangu Aza ee,Aza Aza mama umenipa aibu kwa ndugu na jamaa zangu Aza ee
(Maneti)Aza wangu mama ee unanishangaza Aza ee,vip leo Aza ee umenigeuka
Aza Aza mama umenipa aibu kwa ndugu na jamaa zangu Aza ee,Aza Aza mama umenipa aibu kwa ndugu na jamaa zangu Aza ee