Deejay nasmile
JF-Expert Member
- Nov 8, 2011
- 5,794
- 5,352
Kwa upande wangu nawakumbuka
Marc vivan foe..huyu ni mchezaji wa timu ya cameroon ambaye alifia uwanjan
2.papa wemba alifia stejin akiwa anatumbuiza
3.blondon lee huyu alifariki wakati wanashoot movie.ni mdogo wa blue lee=Bruce Lee
3.kuna bend nimeisahau jina ilikuwa inapaform katika meli ya titanic.mpaka meli inazama inasemekana walikuwa bado wanapafom
Wewe unakumbuka watu gani..tufahamishane wadau
Kanumba hakufariki akiwa location? Mimi namaanisha waliofariki wakiwa kazini.muda kifo kinawakuta..soma maelezo yangu na mifano niliyotoa pale juu bosiKanumba wa bongo movie
Sio kweliPAUL WALKER
Pamoja mkuu.ila nimemtaja pia huyoMarc vivien Foe alikuwa mchezaji wa Cameroon alikufa ghafla uwanjani
petro usikumbushe wengine ni wagonjwa wa football kindakindaki
Sad! RIP
Daudi balali alikufa akiwa gavana
Brandon Lee hakuwa mdogo wa Bruce Lee bali alikuwa Mtoto wa Bruce Lee.Kwa upande wangu nawakumbuka
1. Marc vivan foe..huyu ni mchezaji wa timu ya cameroon ambaye alifia uwanjan
2. Papa wemba alifia stejin akiwa anatumbuiza
3. Blondon lee huyu alifariki wakati wanashoot movie.ni mdogo wa blue lee
3. Kuna bend nimeisahau jina ilikuwa ina paform katika meli ya titanic.mpaka meli inazama inasemekana walikuwa bado wanapafom
Wewe unakumbuka watu gani..tufahamishane wadau