Tukutane hapa ambao hatuna mpango wa kuoa kwa Me au kuolewa kwa Ke

Tukutane hapa ambao hatuna mpango wa kuoa kwa Me au kuolewa kwa Ke

Sasa hivi mahari imepanda bei kidogo..ni milioni 2 mpaka 3.

Ukijumlisha gharama za harusi na za kuanzia maisha: unaishia kuumiza kichwa na huzuni.

NB: Wazee watupunguzie mahari ili vijana tuoe
Hivi kuna watu wanatoa mahari siku hizi
 
kuna la maana lipi hapa duniani lakufanya wewe...acha jazzband. la maana duniani ni furaha basi. sasakama jamaa ana furahia hayo maisha inatosha.
Wewe hana mbele wala nyuma kuishi mwenyewe hajui atakula nini hyo ni furaha anaumwa hata watu hawajui usiseme hivo kuna umri ikifika utaona umuhimu
 
Huku kwetu Kwamtogole kuna bibi mmoja aliitwa Bi Lilian, hakuwahi kuolewa wala kujaliwa mtoto. Aliishi kwenye chumba cha kupanga. Baadae sana watoto wa kaka zake walimnunulia nyumba mitaa hii hii.

Akiugua mwenyekiti wa mtaa anaitisha kikao na watu hupeana zamu ya kwenda kumuona, kumpeleka chakula na kumbadilishia nguo.

Alivyokua na mdomo mrefu akitoka hospitali alikuwa anasema “kumbe mama Ashura anapikia kuni? Chai yake ilinishinda inanuka moshi”.
Bi Lilian alikufa kipweke sana.
Kuna Watu wana nogwa [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Huku kwetu Kwamtogole kuna bibi mmoja aliitwa Bi Lilian, hakuwahi kuolewa wala kujaliwa mtoto. Aliishi kwenye chumba cha kupanga. Baadae sana watoto wa kaka zake walimnunulia nyumba mitaa hii hii.

Akiugua mwenyekiti wa mtaa anaitisha kikao na watu hupeana zamu ya kwenda kumuona, kumpeleka chakula na kumbadilishia nguo.

Alivyokua na mdomo mrefu akitoka hospitali alikuwa anasema “kumbe mama Ashura anapikia kuni? Chai yake ilinishinda inanuka moshi”.
Bi Lilian alikufa kipweke sana.
We dada kwa visa na mikasa ni konyo
 
Huku kwetu Kwamtogole kuna bibi mmoja aliitwa Bi Lilian, hakuwahi kuolewa wala kujaliwa mtoto. Aliishi kwenye chumba cha kupanga. Baadae sana watoto wa kaka zake walimnunulia nyumba mitaa hii hii.

Akiugua mwenyekiti wa mtaa anaitisha kikao na watu hupeana zamu ya kwenda kumuona, kumpeleka chakula na kumbadilishia nguo.

Alivyokua na mdomo mrefu akitoka hospitali alikuwa anasema “kumbe mama Ashura anapikia kuni? Chai yake ilinishinda inanuka moshi”.
Bi Lilian alikufa kipweke sana.
Bi Lilian hakua na shukrani...r.I.p
 
Back
Top Bottom