Tukutane hapa ambao tumeshawahi kuwapa kichapo wake/ wapenzi au mademu zetu

Kosa lilikuwa nini dada?
Alikuwa na wivu,nilichelewa kutoka saluni na hiyo saluni alinipeleka yeye msusi alikuwa na mkono mzito,kila akija bado nasukwa,Nilikaa saluni kama masaa 5 alipokuja kunichukua akaanza kunitukana na kuwatukana wadada wa saluni kuwa analetewa mteja alafu wanamwacha anaenda kwa mwanaume kwanza,walipojaribu kujitetea na kunitetea ndio hapo akanirukia na kunipiga hata kuondok na nywele nilizosuka kwa mkono
 
Wanaume wenye dalili za ubabe hawajawahi kuwa na nafasi kwenye maisha yangu
Unavyoongea hivi tukichunguza kwa karibu lazma mwanaume wako atakuwa akikoroma tu unaufyata halafu unasema wenye dalili ya ubabe hawana nafasi. Ningekuwa mgeni wa KE hapo sawa
 
Aaaah wapi lijamaa bado linabandua tu......
 
Kabisa mkuu
 
Mh hapo kwa kweli sijaona sababu ya yeye kukupiga! Halafu pia yawezekana wewe ni mzuri haswa yaani mrembo unavutia hivyo ndio maana akawa ana wivu sana na wewe,hata mimi napiga ila inatokana na sababu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…