Hahaha umemjibu kikauzu balaa,hahahHakuna real wala kidding hapa,bila Makofi nyiyi huwa mnatupanda vichwani
Ati kakosa kadooogo tu,
Yaani nusu lita ya maji itakuwa Simtank ya lita elf1[emoji1321]
Hahah hatari punguza dozi mkuu,jana kuna mshkaji Mwz amemkaba demu wake ofisini hadi akamuua onspot,hatari sana afu chalii mwenyewe ana miaka 25 tu.tena we wa kupigwa sana tu,,.ningekupa za chembe km sita hivi..ungesimulia vizur.
Sasa wewe haugopi jinsia yoyote afu unaombwa uepushiwe mwanaume wa hivyo.Nashukuru Mungu cjawahi kupigwa kwenye mahusiano, na nikiona tu mwanaume ni arrogant mshamba aliyelelewa kimfumo dume wa ubabe wa kijinga na mwacha mapema kabisa, nime grow kwenye jamii isiyo piga wanawake na wote wanaheshimiana mwanamke, na mwanaume na familia zimekuwa vzuri tu. Mwanaume mpigaji ni dhaifu hajiamini na hana ushawishi Mimi ukini treat vzuri, nakuheshimu ila hujielewi utegemee nakuheshimu never on earth Mimi huwa siogopi jinsia yoyote kitaeleweka tu. Mungu niepushie na mwanaume mjinga na mpigaji mana malezi ya jamii yamemharibu
Madem wenyewe wamejaa ivi unamtishia nani mapenzi wewe?
Alaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Si mpaka uwezeHuwezi nipiga nakuangalia..lazima nikujeruhi
Inaonekana hua unakutana na washkaji mayai mayai wa huko Masaki waliozea kupigwa kwa maneno na wazazi wao mpk wanalia.Mzazi wangu hajawahi nipiga hata shule yenyewe sijawahi chapwa Mimi jinsia yoyote akinizingua tu cha moto atakiona tena nikikasirika uwiii ka mbali aisee. Kujibu nakujibu nakunigusa hunigusa aisee bora nikuvute hzo p....mbu
Hahah naona wameanza kujitokeza mdogomdogo.Magentle Man ya jamii forum haya..full maigizo..kwahiyo wewe Upige Mkuu?? Acha bongo movie mkuu
Mimi yoyote aiizingua sasa wewe jifanye kidume cjui jogoo mshenzi eti unanipiga loh kwanza Mimi hu date na watu maturedSasa wewe haugopi jinsia yoyote afu unaombwa uepushiwe mwanaume wa hivyo.
Omba ukutane nae ndo utajua kichapo kikianza hio jinsia itaogopeka au la.
NB:I DON'T SUPPORT DOMESTIC VIOLENCE,lkn sometimes watu hua wanapewa dozi kwa ukuda wao wakujitakia.
Hahaaaaaa mi had wa kanda maalumu nimedate nao na hawajawahi nigusa hata kidogo hayo kupiga ni ushamba tu yaniInaonekana hua unakutana na washkaji mayai mayai wa huko Masaki waliozea kupigwa kwa maneno na wazazi wao mpk wanalia.
Utakutana na wa huko Mwananyamala utapewa kichapo heavy mpk hizo mbupu utasahau kuzivuta.
It doesn't matter kulelewa na wote au mmoja hyo sio tija yakujifanya eti wanipiga weee siwezi, kwanza na date na MTU ambaye shamsoma saikolojia yake na tabiaHahaha...tayari kwa ongea, mwandiko na hulka yako, inakuanika mengi; either umelelewa na mzazi mmoja, au unatokea familia ya kishua (put in mind familia nyingi TZ ni za maisha ya kati)...sas in real life usilete ushua. Rules are tough.
Hahah sawa mkuu basi,utakua nawe ni nunda.Hahaaaaaa mi had wa kanda maalumu nimedate nao na hawajawahi nigusa hata kidogo hayo kupiga ni ushamba tu yani
Unamuacha tuu! kwani pacha wako huyo..Mke wako anachati na x wako umeshamuonya mara kadhaa hasikii unafanyaje
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Principle nikiwa secondary nilikua nikiltongoza demu akikataa anakula makofi ya maana, maana niliamin sina mapungufu kwann akatae, ananipa gundu... *****.
kwa hiyo kupiga ndio solution afande?Utaoa na kuacha wangapi wewee mtu?
Unaongea kitu unrealistic wewe raia!
Labda uniwekee sumu kwenye chakula kama alivyoshauri mdau mmoja hapo juu,mwanaume ni mwanaume tuu huna ubavu wa kupigana naeKidonda utakipata wewe na kimbelembele chako cha kunipiga kofi
Wewe ndo real man nakukubali wanaume wengi wanashindwa tu kuwaelewa waprnzi wao utampiga atakuwa kimya, ila ana enda nje kwa aliye mstaarabuMada ya hii ilitakiwa isomeke
TUKUTANE HAPA TULIOFANYA UJINGA WA KUWAPIGA WAPENZI/WAKE ZETU NA JINSI TUNAVYOJUTIA UJINGA WETU
Kumpiga mwanamke ni ujinga na udhaifu wa kiakili walio nao baadhi ya wanaume, lakini kujisifia hadharani kwamba eti jana ulimpiga mwanamke wako ni ushamba wa kiwango cha juu. Unawezaje kumpiga mwanamke umpendae!!?? Unawezaje kumuomba tendo la ndoa mwanamke wako uliyempiga muda mfupi uliopita? Huo ni unyama ni ujinga wa hali ya juu. Mwanaume ukiona mwanamke analalamika au haendi na vile unavyotaka wewe, tambua kwamba kuna pengo kati yenu la kihisia au kimawasiliano na pengo hili hujazwa kwa hisia au mamawasiliano na SIO KWA KUMPIGA.
Ukweli ni kwamba msukumo wa mwanaume mpigaji unasababishwa na kushindwa kudhibiti HASIRA ZAKE na KUKOSA UVUMILIVU WAKE. Hasira kwamba anashindwa kushindana kwa hoja za mwanamke na anachoona rahisi kwake ni kupiga maana wanaume kwa asili wana nguvu (za kimwili) lakini wengi ni dhaifu kihisia.
Baada ya kupigwa mwanamke au wanawake wengi 'hutulia' kwa sababu ya hofu ya kupigwa tena kitendo ambacho wanaume wengi wapigaji hukitafsiri kwamba mwanamke wake 'amerudisha mapenzi' au 'sasa ana heshima' kumbe mapenzi yalishaisha. Kilichopo ni hofu na uoga na sio mapenzi.
Hahaaaaaa wa kanda maalumu alikuwa had ananiheshimu aisee mana najua Ku deal na kila mtu kulingana na hulka yake mwisho wa Siku kanda maalumu tumekuwa mabest hatari tunataniana hapa na pale tu yaniHahah sawa mkuu basi,utakua nawe ni nunda.