Mkuu mimi bado sijaoa ila ulazima wa kumpiga mwanamke siuoni, yaan ifike hatuwa umtupie konde mkeo kisa chumvi nyingi kweli kiongozi, sikatai inaweza kufika steji ukamuweka konde ila wengi humu hawakuwa na sababu za msingi ni watu km wa3 hiv nimesoma nimeona kwa hapo hakuwa na jinsi, ila wengine ni zile sifa tu eti bila makofi hawaendi kitu ambacho si kweli, wanapiga tu kwa sifa..
Mie sijaoa ila nishakuwa katka mahusiano na pia kuishi na mtu kwa nyakati tofauti na soon nakaribia kuingia katika ndoa baada ya kumuona mzazi mwenzangu ana sifa zote za kuwa mrs. Makaveli
Kuna sehemu huwa tunakosea hiv mwanamke mpaka anafikia kukupa majibu mabovu ya kukufanya umkandike mabanzi inakuwaje aidha umemuendekeza ama ulichagua jini kisiran, maana ukifeli katika kufanya maamuz ya kuoa ni tabu sana, mie hata awe beyonce ila kama haniheshimu, hajali wala kunithamini siwez kuwa nae hata kwa bunduki.