Tukutane hapa ambao tumeshawahi kuwapa kichapo wake/ wapenzi au mademu zetu

Tukutane hapa ambao tumeshawahi kuwapa kichapo wake/ wapenzi au mademu zetu

Dada Dorrlyn

You are lying even further!

Ndani ya ndoa miaka 30,tuseme uliolewa ukiwa 25,now you are not less than 55!A 55 years woman anaeandika paragraph anasema "Mi" badala ya "Mimi",halafu "urself" badala ya "Yourself",halafu "u" badala ya "You" ni wazi you are lying big time!!!

Wewe ni msichana kijana ambae mos def hujaolewa bado...Inajionesha clearly the way unavyoandika!

Tuache hayo:

Baba hajawahi mpiga mama,hua unakua nao chumbani?Babu hajawahi mpiga bibi,una ushahidi ukiacha hadithi za kusimuliwa?

Kwanini ni "babu mzaa mama" tu?Kwanini hakuna "babu mzaa baba"?Inaonesha umelelewa na mama tu,baba hajawahi kua authority figure in yo life!Ndio maana unaona wanaume ni weaker version to yo mother,of which you totally wrong!Hiyo ni illusions,get'outta it and see the reality...Mwanaume atakae kuoa utamuona ni lesser version of a woman figure in yo life.The funny thing is,there is no such man!Cha msingi usiolewe tu,achana na usenge wa ndoa.

Bright men wana way of punishing mwanamke,which way mrs bright woman?My sister u are in science fiction,there is no such way...Mwanamke anakua combative,anatulizwa combatively.It is funny,mkiwa kwa baba zenu heshima mtindo mmoja,ukipasua hata sahani tu ni noma,ila ukiolewa unataka u-shit on your husband the way you want!Thats hilarious!
Makes a lot sense,,,
 
Mimi napenda kuweka mipaka na always Niko positive sijapenda kitu tutaongea kiypole tena wote mihemko ikiisha kuwa chini, maana kanda maalumu ana hasira Kali bila sababu Mimi nilikuwa nakua kimya baadae, namwbia hivi na hivi sijapenda anaelewa tu mwisho wa Siku alikuja kunipenda sana
Kwa akili hizi hakuna mwanamme atakuja kukupiga,pengine awe na sababu tofauti za kikorofi tu!!.
 
kwahiyo unazani wewe unaopiga ndo huchitiwi? yani wewe ndo kabisaa wako analiwa hadi na wabodaboda, niwambie tu wanawake wengi wanaopigwa hurudhisha visasi kwa kwenda kuvitembeza nje na ndio nyie mwisho wa siku unakuta mna watoto wanne mmoja tu ndo wako, yote hayo ni malipizi, unapompiga unajiona kidume kumbe mtaa mzima wanaijua papuchi ya mkeo ukipita unachekwa, shubamiti
Nmetoa mfano tu, mwanamke wangu hajanipa sababu ya kumpiga sitompiga...ila akileta zengwe anakula mbata tu!
 
Basi unaweza kuwa si mkorofi 100% sure,nimeanza kuamin hivyo tofauti na nilivyokuw nafikiri mwanzo kupitia maandishi yako,UKWELI NI HUU - HAKUNA MWANAMME MKOROFI MBELE YA MWANAMKE MPOLE/MSTAARABU,I can be convinced that you might be amongst of meek and civilized wives!!.
Hahaaaa eti maandishi ya mwanzo sasa mkiheshimiana kwanini mdundane jamani, mi huwa mstaarabu tu nafanya yangu na Nina msoma mwenza wangu saikolojia nakuwa na kiac kwa kila jambo, hapo mwanaume ana lainika tu mwenyewe no kupigana
 
Kwa akili hizi hakuna mwanamme atakuja kukupiga,pengine awe na sababu tofauti za kikorofi tu!!.
Hawezi mkuu ni mwendo wa upendo tu nakuelewana hata kudhubutu hawezi hasa ukijali, naheshimu nafasi yangu ka mwanamke basi
 
Hahaaaa eti maandishi ya mwanzo sasa mkiheshimiana kwanini mdundane jamani, mi huwa mstaarabu tu nafanya yangu na Nina msoma mwenza wangu saikolojia nakuwa na kiac kwa kila jambo, hapo mwanaume ana lainika tu mwenyewe no kupigana
[emoji3] [emoji3] [emoji2] kabisa Mkuu!!.
 
Mi mambo ya kupiga ctaki kuskia kabisa though ndoa ni muhimu, ila sio.kudundana aisee, pia huko Ku chart mbona nikutokujiheshimu mi nikiwa kwenye relationships huwa nakuwa mwaminifu, sasa na nyie mbona magwiji wakuchepuka
Kama una adabu na mwaminifu mapenzi ni kama pepo ndogo endapo uko na mtu wa kufanania tabia zako.
 
Kujiheshimu ndo mpango nakusikilizana basi bila hivo ni ngumu sana. Ila mkuu uwe makini na choice zako wewe wabeba Dada wa uswazi unategemea nini
Hahahaha siwez beba demu wa uswahilini kwanza nawaogopa sana yani.
 
Mimi napenda kuweka mipaka na always Niko positive sijapenda kitu tutaongea kiypole tena wote mihemko ikiisha kuwa chini, maana kanda maalumu ana hasira Kali bila sababu Mimi nilikuwa nakua kimya baadae, namwbia hivi na hivi sijapenda anaelewa tu mwisho wa Siku alikuja kunipenda sana
Hapa nimekukubali sana, kama hakika ndivyo ulivyo nitafute ukiwa single tuyajenge. Maana wanawake wenye hulka ya upole na kujua kucheza na hasira zetu wapo wachache mno.
 
Mi sijui ni kosa gani tu naweza kushindwa kujizuia mpaka nimpige mwanamke. Hata ile kupigana tu. Maana nikifikia huko huwa siwezi kuamliwa labda unikate shingo. Coz mwili huwa unakufa ganzi sisikii maumivu, mwili huwa unapata nguvu mara 20 na huwa nawaza kuua tu
 
Basi unaweza kuwa si mkorofi 100% sure,nimeanza kuamin hivyo tofauti na nilivyokuw nafikiri mwanzo kupitia maandishi yako,UKWELI NI HUU - HAKUNA MWANAMME MKOROFI MBELE YA MWANAMKE MPOLE/MSTAARABU,I can be convinced that you might be amongst of meek and civilized wives!!.
Yeah huo ndo ukweli, hakuna mwanamume mkorofi mwanamke akiwa mpole. Hapo tutapigana kwa upinde wa kanga kama wanavyotaka ila kwa wale washenzi mikofi tu *****.
 
Mi sijui ni kosa gani tu naweza kushindwa kujizuia mpaka nimpige mwanamke. Hata ile kupigana tu. Maana nikifikia huko huwa siwezi kuamliwa labda unikate shingo. Coz mwili huwa unakufa ganzi sisikii maumivu, mwili huwa unapata nguvu mara 20 na huwa nawaza kuua tu
Hilo sina shaka maana wewe ni jini kisirani kama ulivyojipambanua kwenye ID yako humu
 
Mimi bwna kupiga mwanamke niliacha pale nilipo mpiga demu wangu mmoja hivi nikajifanya mjanja akaomba msamaha tukarudiana siku alinunua nyama akapika na kwenye bakuli yangu akaweka sumu ya panya tumekaa tunaanza kula tu akaniambia usile hiyo mboga akampa paka paka akafa akaniambia neno moja tu wewe ubabe wako peleka kwenu toka hapo nikashika adabu
Mkwara huo baba, hana uwezo wa kufanya hivyoo!!
 
Back
Top Bottom