Dah...mbona unanionea mkuu, mi mstaarabu ndio maana nmeomba akiwa single sio sahivi!we naye umalaya unakusumbua..Sisi wanaume shida sana
Wajeuri wa namna yako huwa nawapenda kweli.Mzazi wangu hajawahi nipiga hata shule yenyewe sijawahi chapwa Mimi jinsia yoyote akinizingua tu cha moto atakiona tena nikikasirika uwiii ka mbali aisee. Kujibu nakujibu nakunigusa hunigusa aisee bora nikuvute hzo p....mbu
hahahahahaWajeuri wa namna yako huwa nawapenda kweli.
Utafanyaje unafikiri huna ubavu huo shauri yakoWajeuri wa namna yako huwa nawapenda kweli.
Na kibaya zaid huwa sibishani hivyoUtafanyaje unafikiri huna ubavu huo shauri yako
Sijawahi comradeHAUJAWAHI PIGA
Makofi yanatengeneza vipi pesa? Acha kupayuka hiiii[emoji35]Kwahiyo unaona sifa kupiga Mkuu? Hayoo makofi ungeyaelekeza kwenye maisha ungekua mbali saana Mkuu!
Nadhani hujaelewa nini nilichokua nakimaanisha!Makofi yanatengeneza vipi pesa? Acha kupayuka hiiii[emoji35]
Mimi usingeweza aiseeNa kibaya zaid huwa sibishani hivyo
Hii nadhani ni sahihi. Wanawake wahaya ni wababe. Ndo maana mwanaume wa kihaya akishatoka uhayani 80% wataoa makabila mengine sio wenzao.Ila mpaka anafikia huko ilikuwaje.. Aidha ulimuendekeza ama ana tabia hii tokea huko...
Tupe mkasa ilikuwajeKupiga demu raha sana
Makofi ni tiba ya ndoa.Lakini yawe ya kishikaji hata jirani asijue.Huwezi kukaa na demu bila kuona akilia anakuwa na hali gani bhana[emoji1] [emoji1] [emoji1]Akikosea si unamuelekeza tu,mpaka makofi jaman?
Ukikuta dada yako anapigwa unazaa na shemeji yako!!? Unakuwa mke wa pili!!? Kumbe unapenda kupigwa!Kumpiga mwanamke ni ushamba wa hali ya juu, dada yangu ukimpiga nnazaa na wewe
siasa hiz mzeeMwanamke anapigwa kwa kanga mkuu sio mangumi wala makofi