Tukutane hapa ambao tumeshawahi kuwapa kichapo wake/ wapenzi au mademu zetu

Yupo mmoja juzi jmosi nimemchapa nikaona anareact kwa kunikwida shati,aisee alikula mikanda ya kutosha...

NB:sinaga mkono wa kupigana na mwanamke ila kwa ilikuwa hamna zaidi kifinyo ili awe na displine
Huwa wanapima kwanza so lazima afanye reaction then akiona jamaa amekaza akili inarudi mara moja.
 
Eti nipigwe na penzi nitoe,aiseeee wana moyo...
Wana moyo haswa...

Kuna rafiki angu alikua anapigwa na bf wake hatari tena na mkanda..kuna siku alimpiga kofi mbele yangu..nilishangaa khaa!! Na usiku mchezo akampa..asubuhi ananiambia mwenzio nimeshazoea kupigwa akanionyesh mapaja..aiseee yameviria damu kwa kupigwa na mikanda akaniambia nimeshazoea mwenzio..mie hoi
 
Ni kweli mkuu kuna watu wamejitengenezea personality fulani ya kiJF sasa itakua soo kutoa ushuhuda wa kupiga manzi ila wanaume wengi wakibongo tunamaliza fyokofyoko na mambata at least once a year tutaleta unafiki tu humu,ila wale wanaopiga ngumi na mateke siwaungi mkono
 
Ni kweli kabisa mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…