Pemba empire
JF-Expert Member
- Apr 29, 2018
- 467
- 1,339
- Thread starter
- #61
hapo sasa..Baba anatoa adhabu kwa Mke unakausha tuSasa ukute mzee anamwadabisha mkewe wewe kiperepere eti una mind ushamba huo..!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hapo sasa..Baba anatoa adhabu kwa Mke unakausha tuSasa ukute mzee anamwadabisha mkewe wewe kiperepere eti una mind ushamba huo..!
Kuna yule ulimpiga na jiweWanaume wenye dalili za ubabe hawajawahi kuwa na nafasi kwenye maisha yangu
We kibonge hata kupigana huweziUnanipiga nakuangalia tu
Aiseeewewe mwenyewe nina mashaka na malezi yako, na namuhurumia sana huyo atakayekuja kuwa mkeo na hao wanao khaaaa, me ntakutilia sumu walah tena
Siku akikupiga ndo ataakuua kabisa Kuwa makiniNimeolewa na mwanaume mie, sio masalio ya mwanaume kama wewe
Nampiga vizuri tu, na wewe KakaKumpiga mwanamke ni ushamba wa hali ya juu, dada yangu ukimpiga nnazaa na wewe
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Umejiunga jana JF! zamani walikuwa wanakuita nani?
Na nipigane ili iwejeWe kibonge hata kupigana huwezi
Exactlykamwe mwanamke usimnyime makofi atakudhalau
Sasa mkuu kwamfano mnakuwa ndani alafu mkapishana kauli wewe mwanaume unataka muyamalize chumbani bila majirani kujua naunataka muyamalize kwakuongea tu ila mwanamke anaanza kubwabwaja kwasauti kubwa ili tu majirani wajue kuwa nayeye huwa anakuchamba kila unapompoza kuwa ongea basi kistarabu kwasauti yachini unavyofanya hivyo unamtangazia nani ila ndio kwanza anaongeza sauti sasa mtu wahivyo utamtulizaje bila mabanzi?Ni kweli kabisa mkuu
Mmh. Haya bana Swahiba.Yupo mmoja juzi jmosi nimemchapa nikaona anareact kwa kunikwida shati,aisee alikula mikanda ya kutosha...
NB:sinaga mkono wa kupigana na mwanamke ila kwa ilikuwa hamna zaidi kifinyo ili awe na displine
Wakina tatyna ali hawa..Unanipiga nakuangalia tu
Ila mpaka anafikia huko ilikuwaje.. Aidha ulimuendekeza ama ana tabia hii tokea huko...Mimi nakumbuka nilizinguana namtoto mmoja hivi wakihaya eti akaniambiaje nitakuanzishia timbwili laasha ngedere nikajiuliza hivi huyu mwanamke ananichukuliaje nikahisi kama kanidharau sana nikaona kainama chini kachukua chupa yasoda akaipasua chini ikatoa vipande viwili kimoja akanipa nakingine akabaki nacho akaniambia tupigane nikaona huu ufala badala atengeneze amani anatengeneza vita nilichokifanya nikakitupa kile kipande chachupa uvunguni alafu nikamwambia haya Fanya unachoweza nikaona ananivamia nachupa yake ndio nilimshika nikamchapa mabanzi mpaka akaomba pooo toka siku hiyo ajawahi nipiga mkwara wakiboya niheshima tu kwenda mbele
In short kuna baadhi yawanawake ukiwachekea ipo siku utakutwa maiti
No alikuwa nimpenz mpya sasa nahisi ilikuwa nistyle yamaisha ambayo alitaka kuniletea kwahiyo hilo lilikuwa kama nijaribio lake lakwanza lakutaka niwe chini alafu yeye awe juuuIla mpaka anafikia huko ilikuwaje.. Aidha ulimuendekeza ama ana tabia hii tokea huko...
Aisee sometimes mnapataga MAKAHABA na sio wanawake wa kawaida aisee.Mimi nakumbuka nilizinguana namtoto mmoja hivi wakihaya eti akaniambiaje nitakuanzishia timbwili laasha ngedere nikajiuliza hivi huyu mwanamke ananichukuliaje nikahisi kama kanidharau sana nikaona kainama chini kachukua chupa yasoda akaipasua chini ikatoa vipande viwili kimoja akanipa nakingine akabaki nacho akaniambia tupigane nikaona huu ufala badala atengeneze amani anatengeneza vita nilichokifanya nikakitupa kile kipande chachupa uvunguni alafu nikamwambia haya Fanya unachoweza nikaona ananivamia nachupa yake ndio nilimshika nikamchapa mabanzi mpaka akaomba pooo toka siku hiyo ajawahi nipiga mkwara wakiboya niheshima tu kwenda mbele
In short kuna baadhi yawanawake ukiwachekea ipo siku utakutwa maiti
[emoji23]usipoongea unapigwa tena mpka uongee