Tukutane hapa ambao tumeshawahi kuwapa kichapo wake/ wapenzi au mademu zetu

Tukutane hapa ambao tumeshawahi kuwapa kichapo wake/ wapenzi au mademu zetu

Sasa mkuu kwamfano mnakuwa ndani alafu mkapishana kauli wewe mwanaume unataka muyamalize chumbani bila majirani kujua naunataka muyamalize kwakuongea tu ila mwanamke anaanza kubwabwaja kwasauti kubwa ili tu majirani wajue kuwa nayeye huwa anakuchamba kila unapompoza kuwa ongea basi kistarabu kwasauti yachini unavyofanya hivyo unamtangazia nani ila ndio kwanza anaongeza sauti sasa mtu wahivyo utamtulizaje bila mabanzi?
hapo hamna namna..wapigwe tu..
 
Hahahaha jf nikiboko kila MTU anajifanya kastarabika kila sector yaani kama vile bongo move
Hahah washikaji wote maarufu kwa u-GENTLEMAN kule Chit-chat either hutawaona kwny huu uzi kabisaa au wakichangia utasikia wanasema ooh kuliko kumpiga mpnz bora umuache aende tu hahah,mambo ya kwenye movie hayo.
 
Kuna tabia ambazo njia pekee ya kumaliza ni makofi. Wangu alikuwa na tabia za kupenda kuchati chati hovyo na ex licha ya kumkataza. Siku ya siku akateleza meseji ikaja kwangu bahati mbaya. Nikamuibukia hostel kwao na akajidai room mate ndo alikuwa na simu na alikuwa anam sms jamaayake. Nilijua anadanganya kwani jina na uandishi wake nautambua vyema. Hasira zikanipanda nikamlamba vibao, roomates wake wakaingilia kati kuamua. Nao wakala vibao. Nilikuwa fox ile mbaya na nikakata uhusiano nae. Ila baada ya wiki moja akajirudi nakuomba msamaha akisindikizwa na wale marafiki zake. Kichapo kilisaidia, kwani kwasasa ni wife tayari na kila akikumbuka huwa anacheka sana maana anadai ubinti/utoto ulikuwa unamsumbua.
 
Mimi juzi tuu,mwanamke wangu nilikuwa namuelekeza kuwa Mama yangu hapendi baadhi ya vijitabia vyake,. Heeh si akaanza kuniwakia huku akisema mama yangu amezidi kumfatilia ki ukweli hata sijui ilikuwaje nilijikuta nimempa kofi la kichwa mpaka akazima kama robo saa,ingawa nilijisikia vbaya sana kumpiga,ila nilimuambia anapomuongelea mama yangu atumie hekima sana,tukaelewana maisha yanaendelea vzuri tuuh,

So kuna wakat wanawake wawe wanaangalia sana midomo yao,ili kuepuka vpigo vya bila kutarajia na hasa kwa sisi ambayo kupiga wanawake sio tabia yetu!!!!!!*
 
Aahh!! Nyie wapigeni tu, ila moe kunyenyua mkono eti kumuweka makofi mtoto wa kike sijui naanzia wapi,sijawahi na sidhani km nitakuja kuthubutu kumuweka makofi.. Ukiona mwanamke anakusumbua au anakuzingua mpaka unamkata makofi ujue kuna sehemu unakosea sana, kuna gap inabidi iwepo kabla ya makofi ambayo mwanamke akikuvuruga ikifika steji hiyo anajua huyu kweli nimemvuruga, mwenyewe anakiwa na adabu, humuweki makofi ila ni km umemuweka makofi.. Katika ujana wangu wote wa kuruka ruka sijawahi kumtia mwanamke mabanzi wala kumtishia kuwa nitampiga.
Muongo wewe..kuna mtu unamvia humu
 
Hahah washikaji wote maarufu kwa u-GENTLEMAN kule Chit-chat either hutawaona kwny huu uzi kabisaa au wakichangia utasikia wanasema ooh kuliko kumpiga mpnz bora umuache aende tu hahah,mambo ya kwenye movie hayo.
hahahhaha..wale jamaa hatari sana..wakiongozwa na daby..hahaha
 
Back
Top Bottom