Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 48,444
- 194,235
Nimeshtuka tu… kuta zina siri nzitokwani kuna tatizo gani mrembo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeshtuka tu… kuta zina siri nzitokwani kuna tatizo gani mrembo?
Hivi shangazi ni dada wa baba?Mtoto wa dada yako ni mpwa wako boya ww😂😂😂 binamu ni mtoto wa shangazi yako. Mpwa wako ni sawa na mwanao tu hapo umefeli cause we ni mjomba kwao.
Natamani wewe ungekuwa binamu yangu na sie tujaribuNimeshtuka tu… kuta zina siri nzito
Ufukara hauendani kabisa na maswala ya kulana binamuAisee, ndio maana kuna koo zinachapwa na ufukara na mabalaa kibao kumbe vyanzo huwa ni hivi...
Ukate pumbuza wapi wewe utakuwa walishakala threesome🤣🤣🤣🤣🤣nione kindugu ndugu sijui mjomba sijui kitoto cha nani, sijui ba mkubwa kinakaa kaa karibu na binti angu....ntakata pmb
Shindwaaaaa shetaniNatamani wewe ungekuwa binamu yangu na sie tujaribu
Hutaki kugegedwa jamani na binamu🤣🤣🤣🤣Shindwaaaaa shetani
Hivi shangazi ni dada wa baba?
Sasa kwani kumla mpwa shida iko wapi?
MpwaMtoto wa kike wa kaka yako au dada yako anaitwa nani?
🤣 uchoyo tuShindwaaaaa shetani
Sitaki hizo dhambiHutaki kugegedwa jamani na binamu🤣🤣🤣🤣
binamu sio ndugu wa damu mbona waislamu wanaoanaSitaki hizo dhambi
Mtaani mbona wanaume kibao wako singo
Ah wee unakuta binamu bonge la tall dark and handsome alafu sasa linakuwa linatomber pisi kali unajikuta nawe unatamani. Ukicheki tabasam lake mwenyewe kyupi inalowaalafu ana hela sasaSitaki hizo dhambi
Mtaani mbona wanaume kibao wako singo
Na uwe🤣 uchoyo tu
Dah wasamehe tu awo mabinamu zako unajuwa sie wanaume muda mwengine akili huwa zinaruka alafu kichwa cha chini ndio kina kamata usukani unajikuta kila mwanamke unaemuona unamtamani.Na uwe
Nina binamu ni handsome balaa
Tall dark
Kuna wakati akabamba sijui wapi picha yangu, af ilikuwa muda sijaonana nae.
Akanitumia, anasema siku hizi umekuwa.
Nikawa najichekesha na mm
Siku nikamtext.. we dogo upo
Uwii akasema dogo nipe uone
Nilishtukaa 😳😳
Nikajiuliza, huyu mbona hana adabu?
Sikumjibu.. akawa akinitext sijibu, mpk alivyoacha
Ndugu mwingine, tena wa karibu sanaa
Akaleta za kuleta
Jamanii
Nilichefuka nikamchukia, kwake nikakata mguu.
Kumbe akajaga mtongoza na mdogowangu, dogo ye akaenda kusema kwa mama.
Hiyo siku mama ananipigia anauliza flan kakutongoza? Aibu naona kusema,,
mama anasema unaona aibu? Vitu vya hivyo sio vya kuonea aibu, wanaume ni washenzi sana.
Nikamwambia me mkubwa nilishamkatalia na ndio maana unaona hata mazoea nae sina. Namkwepa.
Basi mama akatuambia tu fear men hata kama ni baba ako 🤣🤣🤣
Kiufupi ndugu mimi nehiii
Hata kutongozwa na mtu nisiyemtarajia uwa nachukia 😂😂😂
Very beautifulJust beautiful 😍
Ule uzi wako uko wapi maana nautafuta niusome tena siuoniVery beautiful
Utautafuta sana ukiupata nakupa laki....Ule uzi wako uko wapi maana nautafuta niusome tena siuoni
mambo mengine muwe mnayahifadhi moyoniJuzi tu hapa nimetoka kula nyama ya ndugu yangu wa mbaaaaaali na cha ajabu kanambia anipe na ndumku ila kuingiza nikawa nashindwa sijui huwa wanaingizaje aisee ni ngumu mno. Afu ni Katam aisee
Yaaanmambo mengine muwe mnayahifadhi moyoni