Tukutane hapa tuliowahi kufanya mapenzi na binamu au ndugu zetu wa karibu

Tukutane hapa tuliowahi kufanya mapenzi na binamu au ndugu zetu wa karibu

Ila hii dunia jamani
Sahivi hata mtu kwa ndugu wa karibu unatakiwa ukae nao kwa password.

Wanaume wamekuwa walaku wa nyuchi mpk sio vizuri..
sasa mtu anajijua fika kamuoa dada yako, lkn anakutongoza. Khaaa
Nimesoma huu ujumbe nikaukumbuka wimbo wa Cosmas Chidumule unaitwa Wafikirie na wengine yaani sijui ni kwanini. 😌 😌 😌 😌 😌 😌
 
sema jamaa alifaidi na anaendelea kufaidi mpaka leo
Hapana nimeshamkimbia na namba nimebadili na kuhama. Tukikutana kila mtu hawez jizuia so ni bora tukae mbali.
Maana mikutano ya ndugu sisi ndo tunawindwa
Hapa penyewe kuna msiba wa Mzee kwenye ukoo wao najua nikienda tu tukaonana hali itabadilika....
 
Na uwe

Nina binamu ni handsome balaa
Tall dark
Kuna wakati akabamba sijui wapi picha yangu, af ilikuwa muda sijaonana nae.
Akanitumia, anasema siku hizi umekuwa.

Nikawa najichekesha na mm
Siku nikamtext.. we dogo upo
Uwii akasema dogo nipe uone
Nilishtukaa [emoji15][emoji15]
Nikajiuliza, huyu mbona hana adabu?
Sikumjibu.. akawa akinitext sijibu, mpk alivyoacha


Ndugu mwingine, tena wa karibu sanaa
Akaleta za kuleta
Jamanii
Nilichefuka nikamchukia, kwake nikakata mguu.
Kumbe akajaga mtongoza na mdogowangu, dogo ye akaenda kusema kwa mama.
Hiyo siku mama ananipigia anauliza flan kakutongoza? Aibu naona kusema,,
mama anasema unaona aibu? Vitu vya hivyo sio vya kuonea aibu, wanaume ni washenzi sana.
Nikamwambia me mkubwa nilishamkatalia na ndio maana unaona hata mazoea nae sina. Namkwepa.
Basi mama akatuambia tu fear men hata kama ni baba ako [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Kiufupi ndugu mimi nehiii
Hata kutongozwa na mtu nisiyemtarajia uwa nachukia [emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe Sasa unachukia nini Tusipoku tomber nan atakutomber au ndo unataka umpe binamu[emoji39]
 
Mambo haya ni chukizo mbele ya Mungu, na aishaykataza katika Mambo ya Walawi sura 18 kuazia mstari wasita,msiongozwe tu na tamaa za mwili vijana, ni DHAMBI

MAMBO YA WALAWI 18:5...…

5 Kwa ajili ya hayo mtazishika amri zangu na hukumu zangu; ambazo mtu akizitumia ataishi kwa hizo; mimi ndimi Bwana.
Mambo ya Walawi 18:5

6 Mtu ye yote aliye wa kwenu asimkaribie mwenziwe aliye wa jamaa yake ya karibu ili kumfunua utupu; mimi ndimi Bwana.
Mambo ya Walawi 18:6

7 Utupu wa baba yako, wala utupu wa mama yako, usifunue, maana ndiye mama yako; usifunue utupu wake.
Mambo ya Walawi 18:7

8 Utupu wa mke wa baba yako, usifunue; maana, ni utupu wa baba yako.
Mambo ya Walawi 18:8

9 Utupu wa umbu lako, binti ya baba yako, au binti ya mama yako, kwamba alizaliwa nyumbani mwenu au kwamba alizaliwa kwengine, utupu wa hao usifunue.
Mambo ya Walawi 18:9

10 Utupu wa binti ya mwanao mume, au wa binti ya binti yako, utupu wao hao usifunue; kwa kuwa ndio utupu wako mwenyewe.
Mambo ya Walawi 18:10

11 Utupu wa binti ya mkewe baba yako, aliyezaliwa na baba yako, yeye ni umbu lako, usifunue utupu wake.
Mambo ya Walawi 18:11

12 Usifunue utupu wa umbu lake baba yako; maana, yeye ni jamaa aliye karibu.
Mambo ya Walawi 18:12

13 Usifunue utupu wa umbu la mama yako; maana, yeye ni jamaa ya mama yako ya karibu.
Mambo ya Walawi 18:13

14 Usifunue utupu wa ndugu ya baba yako, usimkaribie mkewe huyo; yeye ni shangazi lako.
Mambo ya Walawi 18:14

15 Usifunue utupu wa mkweo mwanamke; yeye ni mke wa mwanao; usifunue utupu wake huyo.
Mambo ya Walawi 18:15

16 Usifunue utupu wa mke wa nduguyo; maana, ni utupu wa nduguyo.
Mambo ya Walawi 18:16

17 Usifunue utupu wa mwanamke na binti yake; usimtwae binti ya mwanawe mume, au binti ya binti yake, ili kufunua utupu wake; hao ni jamaa ya karibu; ni uovu mkuu.
Mambo ya Walawi 18:17

18 Wala usitwae mwanamke pamoja na nduguye, awe mtesi wake, na kufunua utupu wake, huyo wa pili atakapokuwa yu hai.
Mambo ya Walawi 18:18

19 Nawe usimkaribie mwanamke kufunua utupu wake wakati wa kutengwa kwa ajili ya unajisi wake.
Mambo ya Walawi 18:19

20 Usilale na mke wa mwenzio, ukajitia unajisi naye.
Mambo ya Walawi 18:20

21 Nawe usitoe kizazi chako cho chote na kuwapisha kwa Moleki, wala usilinajisi jina la Mungu wako; mimi ndimi Bwana.
Mambo ya Walawi 18:21

22 Usilale na mwanamume mfano wa kulala na mwanamke; ni machukizo.
Mambo ya Walawi 18:22

23 Wala usilale na mnyama ye yote, ili kujitia unajisi kwake; wala mwanamke asisimame mbele ya mnyama ili kulala naye; ni uchafuko.
Mambo ya Walawi 18:23

24 Msijitie unajisi katika mambo hayo hata mojawapo; kwa maana hizo taifa nitakazozitoa mbele zenu zimekuwa najisi kwa mambo hayo yote;
Mambo ya Walawi 18:24
Mambo ya Walawi yanatuhusu nini sisi Wamatumbi,acha tule uvimbe(kuqma) yakhee
 
IMG_3114.jpg
 
Back
Top Bottom