Joanah
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 22,527
- 79,976
Mkuu iyo Alarm ni kwaajili ya mgegedo...?
Ndio mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu iyo Alarm ni kwaajili ya mgegedo...?
Asante 'mpendwa'
Hahaha, achana na mimi wewe.
Uliwashangilia Watford.
Naamini hata jumatatu sisi Everton hatutafeli
Nikianza kuizomea Man Utd usianze kulia lia.
Ulikua Double M,Scorpion,La Brina au Safari Park??? Mimi nina visa vitatu cha LA Brina-Mto Wa Mbu,Sparrow-Karatu na Ambience-SinzaMimi imenikuta hiyo kitu mara kadhaa ila ya mto wa mbu ndio ilinikomesha
Kwa sasa haipo nafasi ya kuizomea...we go high hadi mwisho league
Braza itigi mademu wachafu wale wa nini umeabisha kambi kwa sisi tunaoijua moro itigi ni kama kimboka buguruni pale ni uchafu sio mademu
Mkuu usije kubali upelkwe guest za dar street na wanawake Wa malindi au pub Alberto siku nyingine....kule ndo km mageto yao kabisa mkuuMimi niliibiwa na Malaya mmoja Moshi Huko kwenye Gest za Dar street! Malaya mmoja hivi nilimchukua Malindi pale
ilikuwaje??[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Hadi itigi wanafanya hiyo michezo ya kuweka dawa Kwa matiti?Duh kweli utandawazi..najua mtu mmoja alifanyiwa hivyo buguruni..ilikuwa aibu ya mwaka kwake..
ilikuaje??[emoji2][emoji2][emoji2]Mimi imenikuta hiyo kitu mara kadhaa ila ya mto wa mbu ndio ilinikomesha
Dubai kumbe nako wapoThe Boss Dubai Mkenya mmoja (na wanavyopenda ngozi nyeupe) aliwekewa hio kitu na mfilipino, jamaa anaamka asubuhi mfilipino ameondoka na mshahara wa miezi minne kwenye wallet, mkenya alilia vibaya mnoooo. Kuulizia anaambiwa dada mbona anakaribia kutua Manila saa hizi!!! Mkenya hoi, haya mambo yapo kila mahala
changudoa wa karatu ni viwango au kawaida?Ulikua Double M,Scorpion,La Brina au Safari Park??? Mimi nina visa vitatu cha LA Brina-Mto Wa Mbu,Sparrow-Karatu na Ambience-Sinza
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa, subiri upepo ukate huu.
Utaanza kunilalamikia tu najua
Upepo ukikata nitarudi kwenye ile principle yetu