Boogman
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 2,439
- 5,612
Hahahaa! Inauma ila tamu. Mimi ni driller by profession so hii nchi nimezurura mno Alhamdulilah, kote nilipozurura napanyooshea mikono Moro Town.
Siku hiyo nakula gambe mitaa flani jirani na Msamvu panaitwa Itigi nikaopoa binti. Mmh! baada ya monde sana akanambia tuhamie Yohana Pub tukaenda monde kama kawa, baadae tukaenda lala guest moja inaitwa Paradise nikapiga mashine kama mjukuu wa Mswati.
Kilichiniponza ni kunyonya matiti, mara ckujielewa naamka siku ya pili kitandani niko alone kucheck suruali wallet ipo ila haina kitu zaid ya vitambulisho na kadi ya bank, simu mbili zote hakuna, wenge to the maximum. Nikarudi rum akili zimepaa kiujumla, siku ilikua ngumu sana sikula kabisa.
Jioni washkaji wakanitoa out nikala Konyagi ndogo ndiyo akili ikarudi nikaenda bank nika-draw mzigo nikanunua simu na toka hapo akili zikakaa sawa. Siku hizi nina mbinu za kimafia, siibiwi tena!
Sent using Jamii Forums mobile app
Siku hiyo nakula gambe mitaa flani jirani na Msamvu panaitwa Itigi nikaopoa binti. Mmh! baada ya monde sana akanambia tuhamie Yohana Pub tukaenda monde kama kawa, baadae tukaenda lala guest moja inaitwa Paradise nikapiga mashine kama mjukuu wa Mswati.
Kilichiniponza ni kunyonya matiti, mara ckujielewa naamka siku ya pili kitandani niko alone kucheck suruali wallet ipo ila haina kitu zaid ya vitambulisho na kadi ya bank, simu mbili zote hakuna, wenge to the maximum. Nikarudi rum akili zimepaa kiujumla, siku ilikua ngumu sana sikula kabisa.
Jioni washkaji wakanitoa out nikala Konyagi ndogo ndiyo akili ikarudi nikaenda bank nika-draw mzigo nikanunua simu na toka hapo akili zikakaa sawa. Siku hizi nina mbinu za kimafia, siibiwi tena!
Sent using Jamii Forums mobile app