hahahhhHuwa sometimes akili zenu mnazijua wenyewe
Ngachoka mie!
Tena anasisitiza kabisahahahhh
hahahhhh uyo mwanamke wako kiboko amekufanya buzi auTena anasisitiza kabisa
"Chipi za Mama ziwe na mayao manne lkn za baba yy hapendi mayai mengi"
Na wewe huwa una beba to go Savana za kutosha?
Basi ww mstaarabhahahhhh uyo mwanamke wako kiboko amekufanya buzi au
mm hapana muite huyo akuletee group lake [emoji23]Basi ww mstaarab
Njoo pls Catalunya hapa tupige hata mbili mbii leo Jmapili
Usije na Committee pls!mm hapana muite huyo akuletee group lake [emoji23]
hahahhh hayo maneno mwambie huyo anaetaka kubeba mpk chips za baba na mama [emoji23]Usije na Committee pls!
Ahahahaha
Hahahahaha..kama enzi zangu nilivyokuwa choka mbaya, mtoto kaagiza chips nakula kona na namba yake nafuta
Mkuu apo ulijilengesha mwenyewMwaka jana nilikuwa kiwanja uswazi, nipo counter akatokea mdada mzuri sana akawa ananunua bia kwasababu wahudumu walikuwa pungufu, nikamchombeza akaniambia yupo na mama zake wadogo watatu akanunua bia nne, nikambebea mpaka meza yao na nikajumuika nao. Picha likaanza zile bia zilipoisha nikamwita mhudumu awasikilize,bia nne zikageuka bia 1+ savannah 2 na chupa ya st. anna... nilikereka japo nililipa,nikachukua namba nikajikataa. Pozi zingine zinawadiscount wadada.
Ilikuwa n utoto mkuu..Mwanamke anakwambia twende bar, na wewe unajijua huna kitu lakini unakubali kwenda. Genius.
Hahahaaaa unajua sana kuandikaHahaa!mkuu complicator acha tu,ukata wa chuo si waujua usipokuwa mbanizi utalia!Nikiwa mwaka huohuo wa 1 nilipata kisanga kingine.Nikiwa hosipitali ya chuo akajitokeza mlimbwende ambaye hakuwa mzawa wa hapa kwetu.Foreina ndivyo tulivyowaita.UMBILE lake kubwa,mrefu kama mlingoti.Kwa kumuangalia ni kama alikuwa na asili ya msumbiji hivi...utamaduni wa mavazi yake ulikiacha kinywa changu wazi!Alivaa kigauni kifupi chenye matirio ya taulo na juu alivaa kikaushi chepesi huku matiti yake madogo yakipepewa na kiupepo mwanana!Nikatamanj ainame nizichungulie titi,hakufanya hivyo nikalaumu ukatili wake!Mimakalio mikubwa ndani ya kivazi na lile umbile lake jamani nikakumbwa na fadhaa.Akanisogelea,pumzi zikashindana,kijasho chembamba kikanichuruzika kwapani na kutoa harufu kali ya kuudhi!Hakika nilihamanika.Nikatamani kufanya nae tendo la ngono tena pasi mutumia kondomu!Shetani baba wa maovu akanivaa.Kitu mfano wa mzizi wa kisamvu kikamea maungoni!Nikalowa chapachapa!Manii zilichuruzika...Nikachutama kaumu isishangae uume ulivyokosa staha....akachombeza..."hello uncle can show me the place where foreigners are treated"?Nikchanganyikiwa!nilimwelewa lakini ntamjibuje?mimi mwl.wa kiswahili? nikajitutumua " sorry me also is my first time to come here.I don't know of the whole process of getting treatment here...kisha nikateleza fasta!Nilisikitika tu kuitwa anko...ukali wa maisha ulifanya nionekane mtu mzima!wana rumu walicheka sana...kila nikikumbuka naishia kucheka!
HuhuhuAise umenichekesha!! Eti macho yamewatoka hadi chips wamebakiza
Hahahaaaa unajua sana kuandika
Sawa mkuu ntaenda kuziangaliaHahaa!Nashukuru kwa pongezi zako mkuu Nyanda Dindai!Mimi ni mwl.wa somo la sanaa(kiswahili )ingawa serikali inapiga chenga kuniajiri.Ni mtunzi pia wa riwaya fupifupi za kubuni na vimbwanga...pitia nyuzi zangu utakutana nazo!.