Tukutane hapa wale tuliowahi "Kuchapiwa", ni kitu gani kilikuuma zaidi na ulichukua maamuzi gani kwa mwenzako?

[emoji23][emoji23] ukileta ujuaji unatimuliwa home au sio
 
[emoji16]
 
Bàdo ninamaumivu rafiki yangu best tuna miaka 13 ya urafiki,. Katembea na mume wangu mmenitonesha kidonda
Pole sana, kitu kinachowaponza wanawake wengi mnapokuwa wenyewe huwa mnatabia ya kujisifia waume zenu kwa marafiki zenu jinsi wanavyowapenda n.k...hamjui hao marafiki zenu wanapitia hali gani ndani ya mahusiano yao/ndoa zao. Matokeo yake anaona ngoja na yeye afaidi hayo unayofaidi wewe, ni wanaume wachache sana watakaowaeza kukutaa kutembea na rafiki wa mke wake.
 
Mzee ni bonge la gansta. I wish niwe na mzee wa namna hyo. Unyama sana.

Sent from my STK-L21 using JamiiForums mobile app
 
Bff hatukosi mkuu otherwise umba wa kwako peke yako [emoji28]
 
ila ni raha kinoma ukichapiwa alafu na wewe ukaja kuchapia mtu, unajihisi kama mzani umekaa sawa hivi... Me nilichapiwa nikapiga chini, nikaja nikamchapa workmate wa ex ambae nae alikuwa na jamaa'ake nikaridhika.... Tena nimechapa leo baada ya week akafunga ndoa Mungu anisamehe maana sikujua kama jamaa yupo serious na ile pisi kiasi kile so, baada ya pale niliamua kila kitu kiishie palepale.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
We jamaa[emoji1787][emoji1787]
 
Daaah [emoji28][emoji28]
 
Acheni ufala kama hukumkuta bikra wivu wa Nini kudadeki ....love partial
Mimi manzi angu Nilimkuta bikra she deserve better but siwaamini AWA viumbe japo nampenda Ila tu simwamini as akfanya nkajua ntaumia coz I like her not bcoz nlimwamini..maumivu ya kuamini + kupenda Ni makubwa kuliko maumivu ya kupenda bila kuamini wakuu..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…