Tukutane hapa wale tuliowahi "Kuchapiwa", ni kitu gani kilikuuma zaidi na ulichukua maamuzi gani kwa mwenzako?

Mimi ilinikuta pia. Kwanza siku hiyo inaanza nilimcheka sana jamaa yangu kwa kumlilia demu. Jioni nami yakanikuta, nikaona aibu nikaenda kulilia chooni wana wasijue..kumbe ngashtuka wakanifuata kulekule aisee walinicheka sana siku ile. Jamaa wakanambia we ulisema huwezi kulia kisa demu na jana umemcheka mwana.
Toka hapo nikawa nimekua komando kipensi sina wivu wala siumii kiboya.
 
Mbona zipo nyingi tu kwenye maduka ya wauza vitu vya computer mkuu

Halafu umaweka memory card unaiacha inaendelea kurekodi badae unaichomoa unaanza kuangalia kwenye pc au dvd player
Bei gani na haziwezi julikana au zinafanana na hizi za kawaida
 
Mm nilichapiwa nilipofaham nilimtafuta mkewake nikamchapa nikaandika barua ndefu yakusema kua nimemchapa mkeo nikamweleza alama alizozano mkwe nikamwambia nimemchapa marakadhaa nikamwambia vtu nilivomnunua harafu hiyo barua nikapaleka ofisin kwake
Umetisha
 
Kuna ex wangu aliolewa ila siku moja kaja Dar nikaomba mbususu akakubali. Tuko kitandani ndo nikagundua anachati na mchepuko wake.... iliniuma sana kwanini anisaliti mimi mchepuko wake wa kudumu? Hata mapenzi sikufanya hiyo siku.
 

Comment BORA SO FAR...#Kuchapiwa hakuepukiki
 
Comment BORA SO FAR...#Kuchapiwa hakuepukiki
Ukibahatisha wa peke yako unashukuru Mungu ila kwa hali ya sasa hii mi naamini kuchapiwa hakuepukiki aisee. Na ukilitambua hili unapunguza stress za kukaa roho juu presha imekupanda eti unachapiwa wakati hata la kufanya huna maana kama mtu ni wa kuchapwa atachapwa tu hata ufanyeje. Nonsense!
 
Aisee nimekukubali mwanawane. Hutaki ujinga. Dah huyo mrembo hamkumfumua rinda kweli🤔🤔🤔
 
Tupeanage tuu huo utamu...sii kwa ubaya jamani raha ya dunia ni kushare utam utam.
 
Word.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…