Tukutane hapa wale tuliowahi "Kuchapiwa", ni kitu gani kilikuuma zaidi na ulichukua maamuzi gani kwa mwenzako?

Tukutane hapa wale tuliowahi "Kuchapiwa", ni kitu gani kilikuuma zaidi na ulichukua maamuzi gani kwa mwenzako?

Jamaa yangu wa Chanika naomba unisamehe sana, nilitembea na mke wako ukagundua na kumsamehe, lakini bado tukaendelea hadi ulipokuja kugundua tena. Ila na mimi nina wasiwasi na fundi mmoja, nahisi nimeshapigwa!
Nisamehe pia, nimepiga mkeo mara 3
 
Tulielewana masharti magumu mno tulishakua na ukoo wetu huyu mke wangu ukoo wao ni kwetu na haijui simu inafananeje huu ni mwaka wa tatu

huko kwao tulisha futa kabisa haiwezekani umeenda msbani afu ufanye jambo baya namna ile yaani anajuta mpaka leo kutombw afu ananitumia meseji na jamaa na kunikebehi

Alishabadilika pakubwa sana hata kama anachapwa ni sio sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ata kama anachapwa sio sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kipindi nikiwa chuo ,nipo likizo home nikapata demu ,nikaleta home , nmetoka kufuata msosi na vinywaji kurudi nikakakuta mshua anaipiga ,dah niliumia kiasi ila nilijikaza na mimi nikaigegeda tu kibishi , kesho yake mzee ananiangalia tu kma dume la nyani.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]dem wako MALAYA alikuwa yaani ghafla tu mzee anasuuza rungu kwa stranger!!!
 
Mtoa mada umenikumbusha 2019 mwezi 6 mshikaji wangu toka nitoke alinichapia demu wangu sitokuja kusahau maumivu yake nikaja kumchana demu akanijibu ""dohhh kwaiyo unafanyaje[emoji23][emoji23][emoji23] nilioshiwa nguvu yani ata kujuta amna kanikazia sura nilimpiga kichwa mpaka akapasuka damu mwili mzima jamaa yangu nae baada ya kujua kuwa nimejua eti ndio anajifanya kuja kuomba msamaha nikajifanya nimemsamehe nikamfungia kazi dada yake wa tumbo moja nikamuimbisha mpaka akajaa siku anakuja gheto nikawashitua wana kama wa 2 ivi tukampiga mtungo mmoja heavy weight jamaa akapata taarfa sasa ikawa vita ya kuwindana na mapanga.
[emoji23][emoji23]
 
Kipindi nikiwa chuo ,nipo likizo home nikapata demu ,nikaleta home , nmetoka kufuata msosi na vinywaji kurudi nikakakuta mshua anaipiga ,dah niliumia kiasi ila nilijikaza na mimi nikaigegeda tu kibishi , kesho yake mzee ananiangalia tu kma dume la nyani.
[emoji23][emoji23]
 
Mwaka 2003 mshikaji wangu tukapata taarifa mkewe kuna mshikaji pesa mingi mtoto wa mjini anakula mbaya. Tukamsomea Raman tukamjua watu anaofahamiana nao kaz yake uwezo wake na mahali anapendelea kwenda na anapendelea chakula gani nk. tukajua jamaa anakula wake za watu kibao sio yule wa mshikaji tu. Baada ya miezi sita ya kuchora ramani ya adhabu ya kumpa tukajua yeye ni mlevi pia basi tukaanzia hapo. Tukatengeneza marafiki feki wa kumzunguka then jamaa mmoja akalipwa akamtongoza Mama yake mshikaji. Mama akatic. Akapewa whiskey na wine flan za kanisan akapendeza. jamaa nae kapigwa pombe mchanganyiko na demu mkali wa singida akachangamka. Kwenda hotelin Mama alikuwa bado zimo. Watu wakijifanya cjui House party kila mtu na demu wake then baada ya muda watu wakasepa wakamwacha jamaa na mama yake wamekulana wapo uchi. Ikaandikwa tu sms kwenye kikaratasi akawekewa mezani. Achana na wake za Watu bro hili ni onyo la mwisho. Tulikuja kusikia jamaa alikimbia mjin cjui hata Yuko Wapi Cku hiz. Ila Mama nasikia pressure nanini network zikakata. From that day cwez kumfanyia mtu kitu kibaya kwaajili ya mwanamke zaid sana nitamuacha mwanamke. Umenikumbusha mbali sana Chief. Ila enz za ujana wetu huwez kunifanyia jambo baya nitakulia radar hata mwaka ila hiyo Cku ikifika ujue tunaahirisha kwenda mbinguni Kwa muda kwaajili ya misheni maalumu.
Oshey mr 💰
 
Back
Top Bottom