Tukutane hapa wale tuliowahi "Kuchapiwa", ni kitu gani kilikuuma zaidi na ulichukua maamuzi gani kwa mwenzako?

Tukutane hapa wale tuliowahi "Kuchapiwa", ni kitu gani kilikuuma zaidi na ulichukua maamuzi gani kwa mwenzako?

Licha ya kuupush mlango kwa teke, bado waliendelea kulaliana kwa muda wa kama dakika moja hivi. Baada ya kidume kumwaga, ndipo akajawa na uoga na kuanza kusorry bila mwelekeo

Zile tako alizokuwa anarusha, nilihisi mke wangu hatowahi abebe mimba tena. Niliwafungisha ndoa ya mkeka papo hapo baada ya kutoa taraka 3. Nikawatakia safari njema ya maisha mapya. Nikabaki na mtoto
I feel you Chief, pole sana brother. Mungu akupe subra
 
Kuna jamaa alinichapia mwanamke wangu ambae nilikua nampenda sana mbaya zaidi alimfanya kitu ambayo mpaka akawa ameharibu mfumo wa uzazi wa binti... Sasa siku nikitia mguu mkoa anaokaa jamaa hakuna rangi ataacha kuitambua machoni mwake kutoka kwangu... He must regret that worse fuqn karma...
Tupe feedback mkuu.
 
Inawezekana nimeshawahi kuchapiwa......

Ila hii ni mchapio uliotokea kwa rafiki yangu.....

Miaka ile baada ya kuanza ajira, nikiwa naishi mitaa ya Kijitonyama, mimi na rafiki yangu wa muda mrefu sana tulikuwa majirani kabisa.

Siku ya jumapili nikiwa nawaza niende kuzurura wapi jamaa akanipigia simu kuwa niende kwake ana jambo anataka nimpe ushauri.

Nilimkuta jamaa ana mchanganyiko wa huzuni na hasira; nikauliza kumetokea nini?
Jamaa akaanza kunihadithia kuwa amechapiwa demu wake asubuhi hiyo...Nikashtuka na kuuliza, vipi umefumania? akasema hapana. Nikauliza tena, sasa wewe umejuaje kuwa amekusaliti?
Yaliyotokea kwa mujibu wa maelezo ya jamaa ...
Alimpigia simu huyo demu wake jumamosi usiku kuwa aende jumpaili ili wawe wote weekend kufurahia mapenzi yao, binti akakubali kuwa angefika hapo saa mbili asubuhi.
Jumapili imefika, binti akamwambia jamaa kuwa atachelewa kidogo hivyo atafika saa nne badala ya saa mbili. Jamaa akafanya maandalizi yote ikiwa kuweka mazingira mazuri na kuandaa chakula ili aje kufurahia na mpenzi wake.
Kufikia saa nne kweli binti akafika na jamaa akampokea kwa bashaha zote; katika kukumbatiana na kubusiana wakajikuta wameshaanza foreplay, jamaa akapeleka mkono tumboni ili aelekee kwenye raha za dunia, akapitisha mkono kwenye kitovu akakutana na utelezi...
Akaendelea chini zaidi akaona utelezi unaongezeka, akaingingiza mkono kwenye chupi ndipo alipokutana na utelezi mwingi zaidi.
Kwa kuwa hiyo ilikuwa hali ngeni kwake, akaamua kumlaza binti na kumvua sketi na kisha chupi....hakuamini macho yake yaani ni mzigo wa maniii(sperm) ....
Kiufupi binti aliliwa muda mfupi kabla ya kuja kwa jamaa....
Kumuuliza binti, akasema ''I am sorry''
Jamaa akamwambia tu kuwa aondoke.......
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] dah nmecheka sana ila jf raha sana aisee
 
Kwani hapo mwanaume alikuwa na kosa gani? Si demu alienda mwenyewe! Ungesema alibakwa sawa. Sasa,mpaka anamuoa,huoni wewe ndo ulikuwa mpango wa kando! Number moja alikua muoaji,wewe ulikuwa tu kwa ajili ya starehe. Japo kushea kale kakolombwezo ni hatari na inauma aisee. Sikucheki lakini
 
Kuna jamaa alinichapia mwanamke wangu ambae nilikua nampenda sana mbaya zaidi alimfanya kitu ambayo mpaka akawa ameharibu mfumo wa uzazi wa binti... Sasa siku nikitia mguu mkoa anaokaa jamaa hakuna rangi ataacha kuitambua machoni mwake kutoka kwangu... He must regret that worse fuqn karma...
Ilikuwaje mkuu? Alimbaka au walipatana tu kupeana?

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
 
Ndio Maana mimi natembeza fito kwa wake za watu mwanzo mwisho sababu ya kuchapiwa

NILIVYOCHAPIWA !!

Kipindi namuoa mkewangu tulijikumbusha ya utotoni mi nikamsimulia yakwangu yeye akaniambia jinsi alivoanza kufanya mapenzi na akaniambia jamaa aliemtoa bikra na tayari jamaa alishaoa kiukweli niliumia sana kusimliwa hivyo rakini kwakua ilikua simulizi niliyazoea maumivu yakapita

Basi mwaka 2019 Mkewangu kulitokea msiba kwao akaenda baasi akiwa huko msbani niliona kuna namba ilinitumia meseji ya (nitumie pesa) nikajua atakua mkewangu nikiipiga haipokelewi hiyo namba basi nikakaushia

Baada ya siku alirudi mama watoto wangu akaanzisha stor anasema et nilipokua nyumbani nlicheka kaka wa baba mkubwa alikutumia meseji ya kukuomba hela ukaanza kumpigia kila mara tukacheka pale yakaisha

Tumekaa kama wiki mbili simu ya mkewangu haikatiki kukaa mikononi nikajua hapa kuna kitu hakiko sawa alienda kuoga nikaichukua simu nikaikuta ile namba aliokua anadai ni yakakaake wa baba mkubwa ni jamaa ananitafunia mkewangu

MESEJI NILIZOKUTA ZINASEMA

1.Mpenzi wangu tangia nikupasue bkra pale kwenye boma la nyumba uliniroga nakukumbuka mpaka leo

2.Kumbe bado unautamu uleule wala ujabadilika

Yaani kfupi mkewangu amet**mwba sana na jamaa alivoenda msbani huko nilimbana alikiri kutembea na jamaa aliemtoaga bikra kipindi cha uschana niliumia maumivu ambayo yalikua yananifanya nishinde na njaa kila wakati ilinichukua miez mitatu.
Dah so sad mkuu ndio mana wanasema wanawake si wa kuwaamini kabisa anaweza kwambia kuwa mtu ni kaka yake kumbe ni bwana yake kweli nimeamini kupitia komenti yako
 
Mtoa mada umenikumbusha 2019 mwezi 6 mshikaji wangu toka nitoke alinichapia demu wangu sitokuja kusahau maumivu yake nikaja kumchana demu akanijibu ""dohhh kwaiyo unafanyaje[emoji23][emoji23][emoji23] nilioshiwa nguvu yani ata kujuta amna kanikazia sura nilimpiga kichwa mpaka akapasuka damu mwili mzima jamaa yangu nae baada ya kujua kuwa nimejua eti ndio anajifanya kuja kuomba msamaha nikajifanya nimemsamehe nikamfungia kazi dada yake wa tumbo moja nikamuimbisha mpaka akajaa siku anakuja gheto nikawashitua wana kama wa 2 ivi tukampiga mtungo mmoja heavy weight jamaa akapata taarfa sasa ikawa vita ya kuwindana na mapanga.
Ulikosea mwana. Ungempiga demu wake pia.

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
 
Kipindi nikiwa chuo ,nipo likizo home nikapata demu ,nikaleta home , nmetoka kufuata msosi na vinywaji kurudi nikakakuta mshua anaipiga ,dah niliumia kiasi ila nilijikaza na mimi nikaigegeda tu kibishi , kesho yake mzee ananiangalia tu kma dume la nyani.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] duh baba yako ni nyoko sana yani anamtomba demu wako bila wasiwasi wowote
 
Licha ya kuupush mlango kwa teke, bado waliendelea kulaliana kwa muda wa kama dakika moja hivi. Baada ya kidume kumwaga, ndipo akajawa na uoga na kuanza kusorry bila mwelekeo

Zile tako alizokuwa anarusha, nilihisi mke wangu hatowahi abebe mimba tena. Niliwafungisha ndoa ya mkeka papo hapo baada ya kutoa taraka 3. Nikawatakia safari njema ya maisha mapya. Nikabaki na mtoto
Story teller
 
😂😂Mi nishasema ishu ni private life nitaenda kwa mtu kwake akiwa anaumwa au msiba tu!! Ila hata pakiwa na harusi sikanyagi sipendi kujua life la mtu the same mtu kujua life langu...Tufanye kazi kwa uwezo kila mtu akimaliza ashike njia yake kama kampani kitaa naishi na watu poa hata nikisema nifanye party japo sio mtu wa sherehe Nachukua majirani basi kazini sitaki mtu.


Mnakutana kwa furaha kumbe ni unafiki mwingi ,kesho mnaanza kuchomeana ...wengi pesa hawajijengi akili ni pombe na wanawake assume mtu ana take home around 2mil pia anakopa na hana hata familia..kila siku anapost viwanja.
Mimi sijawahi karibisha mfanyakazi nyumbani kwangu. Hatunaga tabia za kujua maisha ya wafanyakazi wenzetu.
 
Kuna ex wangu aliolewa ila siku moja kaja Dar nikaomba mbususu akakubali. Tuko kitandani ndo nikagundua anachati na mchepuko wake.... iliniuma sana kwanini anisaliti mimi mchepuko wake wa kudumu? Hata mapenzi sikufanya hiyo siku.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom