Tule chapati na kitimoto roast

Mwachiluwi

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2022
Posts
25,258
Reaction score
48,589
Hello

Leo ilikuwa siku ngumu sana kwangu nikawa nimerudi home nimechoka sijao ni bachela nikawaza chakula usiku uhu nikakosa

Nikakumbuka nina ngano na kitimoto nikaona niandae chap nile usiku nisije umwa vidonda vya tumbo

Nikaanza na chapati


Nilipo maliza nika ingia sasa kwenye kitomoto



Baada ya hapo nika andaa now nakula karibuni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…