Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Asante mzee karibu bhna kuna bia pia kwa ajili yakoSafi kabisa kijana, unapika kumshinda kale kabinti
Mkuu utengwe🙌🏾Hello
Leo ilikuwa siku ngumu sana kwangu nikawa nimerudi home nimechoka sijao ni bachela nikawaza chakula usiku uhu nikakosa
Nikakumbuka nina ngano na kitimoto nikaona niandae chap nile usiku nisije umwa vidonda vya tumbo
Nikaanza na chapati
View attachment 3203781
Nilipo maliza nika ingia sasa kwenye kitomoto
View attachment 3203782
Baada ya hapo nika andaa now nakula karibuni
View attachment 3203783
Napenda chapat 😂😂😂😂Una hadi kisukumio cha chapati duh
Kwanini mkuu 😂😂Mkuu utengwe🙌🏾
😂😂 kalibu kitimoto bhnaLeo nakuunga mkono mkuu🤝🏾
Ngoja Hamas waje 😀.Hello
Leo ilikuwa siku ngumu sana kwangu nikawa nimerudi home nimechoka sijao ni bachela nikawaza chakula usiku uhu nikakosa
Nikakumbuka nina ngano na kitimoto nikaona niandae chap nile usiku nisije umwa vidonda vya tumbo
Nikaanza na chapati
View attachment 3203781
Nilipo maliza nika ingia sasa kwenye kitomoto
View attachment 3203782
Baada ya hapo nika andaa now nakula karibuni
View attachment 3203783
Hapana tinza kibundaaisee acheni ujinga madogo oeni
Hahahah! Situmii kilevi kabisa japo ninapoishi baridi inapiga hadi kwa mifupa na asilimia kubwa watu hupenda pombe kali na sigara kwa ajili ya kuupatia mwili joto.Asante mzee karibu bhna kuna bia pia kwa ajili yako
Karibu sanaDah naomba nikutembelee nionje mapishi
Niliweka nilisahau kuattachLosti bila nyanya mmh anyway yummy kitimoto tamu sana
Acha zako basiBoss umeolewa au bado?